Hali sio mbaya kama inavyoenezwa kwenye mitandao!!

Hahahahahahaha angemnasa na kibao kingine mpumbavu huyo.

Kuna kiongozi wa CCM kaniuzia shamba lake la ekari 30 kwa sh 6m baada ya kuhangaika kuuza kwa muda mrefu, na kutopata mteja.

Mimi sikuwa na haja ya shamba, akazidi kubembeleza kuwa nimsaidie ili angalao afanikishe kuwafanya watoto wake wawili waliopo chuoni wamalizie masomo.

Siku ya pili akiwa na viongozi wenzie wa CCM, akaja kijana mmoja aishie Dar, alipoona wamekaa viongozi wa CCM, akaanza kumsifie jiwe, wengi walimpinha lakini jamaa aliyeniuzia shamba ambaye ni Mwenyekiti wa kata alikaa kimya. Baadaye akasimama, alimlamba kofi kijana usoni kijana aliyekuwa anamsifia jiwe, kijana anguka kwa nyuma, akatoka anakimbia huku akianguka na kusimama maana yule Mwenyekiti wa kata siyo mtu wa mchezo. Ni giant hasa, na kiganja chake kimoja ni sawa na viganja vya watu wawili wa kawaida. Kisha akaanza kulalamika, 'huyu hana akili, mahindi yangu niliyotarajia kupata sh milioni 72, nimepata milipni nane wakati bank na watu wa pembejeo wananidai sh 18m. Halafu anakuja kuleta upumb.avu wa huyo mtu wake'.

Katibu mwenezi wake ameniuzia kiwanja kilichopimwa kwa sh 1.7m. Nimemlipa sh 1m. Hali ni mbaya kwa watu wengi. Na hawa wa CCM, mimi sina huruma nao. Akiwa na property, unaichukua ili jamaa atakapoondoka, wengi watakuwa wamesalia watupu kabisa.

Mjeda, naye kwa wiki zima amekuwa akinibembeleza sana. Kiwanja alichokinunua mika 6 iliyopita kwa sh 5.5m, kaniuzia kwa sh 2.1m huku akinikabidhi hati na karatasi alizokuwa amenunulia.

Wengime watatu, nimewakatalia.

Jamani, siyo utani - mambo ni magumu sana. Na inavyoonekana hali itazidi kuwa ngumu. Namshukuru Mungu mapato yangu siyo yategemeayo mapato ya hapa nyumbani, japo shughuli za hapa nyumbani zimeathirika sana.

Huku mtaani kama hali yako ni ya unafuu kidogo, utakuwa na bahati sana kama utamaliza wiki bila kupokea maombi mbalimbali toka kwa ndugu, makanisa, vikundi, mashuleni, marafiki na hata viongozi waliopo serikalini.
 
Acha upumbavu juha wewe? Miaka 58 ni chama kipi kiko madarakani miaka yote hiyo??

Peleka ukamongo wako kwa makamongo wenzio pale lumumba mxciuuuuuuuuuuu!

Kama ukk selikarini nyie ndiyo mmetuharibia maisha kwa wizi wenu. Uchumi ulishakufa miaka nenda rudi watu wanajaribu kuufufua mnachonga. Watanzania wa JF ni hatari sana. Ni Mchwa.
 
Walaumu viongoz wako. Sis wafanyakazi wa level ya kawaida kabisa. Tunatekeleza maelekezo .
Walaum wa huko juu ambao wanafanya decision kwa.mihemko.
Kama ukk selikarini nyie ndiyo mmetuharibia maisha kwa wizi wenu. Uchumi ulishakufa miaka nenda rudi watu wanajaribu kuufufua mnachonga. Watanzania wa JF ni hatari sana. Ni Mchwa.
 
Kumbe ni mshiriki wa serikali! Ungeshangaza kama ungeponda, ungetumbuliwa. Hata sisi wananchi tunasema huku mitaani mambo ni safi. Pasaka nimeuza kuku 6 kwa jirani zangu kwa sh 7000 kila mmoja. Nimechinja mmoja na wife kampika chukuchuku, viungo hakuna, hela sins, wale 6 nimeuza kwa mkopo.
Ndiyo hali iliyopo mitaani, sijui mtoa mada anaishi nchi gani! Kilangila.
 
Mtoa mada ni falaa sana japo amesema ukweli kitu kimoja tuu cha wapiga kelele za kuumia, kua ni kakundi ka watu flani Jf utaona wanavamia thread kama wanaitana vile wapi manengelo wapi Bak wapi Detective wapi mmawia & co
Manenglo ana mume, wamtakiani? Kilangila.
 
Wewe ndo mbumbumbu kabisa

1. CAG Amefanya kazi kwa data nchi mzima

2. IMF niwachumi waliobobea na International Monetary Fund sio chama cha mchiriku

3. Bandiko lako jeupee halina research information or proved beyond reasonable doubt data

Kweli wajinga Tanzania mnatuaibisha sana.
hajui maana hata ya research huyo popoma.
nn kimemsukuma kufanya
alifanya wapi
aliwahoji kinanani nk
 
Heshima kwenu Wanajamvi! Heri ya Pasaka kwenu wote mnaosherekea!!

Wapendwa baada ya kuwa nimeona kwenye mitandao malalamiko ya hali mbaya, nikaamua nifanye kautafiti kadogo japo sio rasmi ( usiniulize habari ya sampling au methodology )

Kwenye mitandao ya kijamii wanaondesha propaganda ni kijikundi cha watu wachache ambao hata 50 hawafiki!! Hata majina naweza kuyataja!! Uhalisia mtaani maisha yapo vzr watu wanapiga kazi. Hakuna malalamiko ambayo tunayaona mitandaoni!
Naishauri Serikali isiingie kwenye mtego wa propaganda za ripoti sijui iwe ya IMF, au ya CAG. Hizi ni propaganda za kuichafua Serikalini yetu pendwa
Comment yangu ni moja tu kwako.
UNA WAZIMU WEWE SI BURE
 
Hali siyo mbaya, ww tumekubali lkn umetimia tafiti ipi ili tuipitie hapa mezani
 
Na mimi Napigia mstari 'hali sio mbaya kama inavyoelezwa kwenye mitandao' NI KWELI KABISA....! wanaolalama ni wale waliokuwa wapiga dili ambao hawataki tena kwa makusudi kutumia fursa kujitafutia riziki halali..!
Tena ungejua wapiga dili wanamaisha mazuri maana walijiwekea hazina ,ndio wenye nyumba nzuri,magari ya kutembelea zaidi ya moja! Hawa ndio tunapanga nyumba zao,tunapanda daladala zao na hata milango yao biashara tunapanga. Tutabaki tunajidanganya wanaona cha moto kumbe maskini ndio joto tunaliona!hata Wtt wao hawasomi shule za st masanja,Wtt wao hasubiri ajira kama wetu.
 
Hawa siyo ushamba ila ni wale manabii na wachungaji wanaopewa pesa za maombezi. Kama sivyo basi hawa ni walinzi wa Rais wanapewa zile pesa zinazonyang'anywa wale wanaotekwa kama MO na wenzie ili waachiwe. Kumbuka kesi ya voda. Zile pesa zitaenda wapi?
Aisee, una shabaha sana. Kilangila.
 
Heshima kwenu Wanajamvi! Heri ya Pasaka kwenu wote mnaosherekea!!

Wapendwa baada ya kuwa nimeona kwenye mitandao malalamiko ya hali mbaya, nikaamua nifanye kautafiti kadogo japo sio rasmi ( usiniulize habari ya sampling au methodology )

Kwenye mitandao ya kijamii wanaondesha propaganda ni kijikundi cha watu wachache ambao hata 50 hawafiki!! Hata majina naweza kuyataja!! Uhalisia mtaani maisha yapo vzr watu wanapiga kazi. Hakuna malalamiko ambayo tunayaona mitandaoni!
Naishauri Serikali isiingie kwenye mtego wa propaganda za ripoti sijui iwe ya IMF, au ya CAG. Hizi ni propaganda za kuichafua Serikalini yetu pendwa
Kwa hiyo serikali inachafuliwa na watu wasiozidi 50 kiasi kwamba maisha yakawa magumu kweli?
 
Atakaenipeleka mahakamani ni yule atakaesifia mmoja kati ya wafuatao mbele zangu: jiwe, bashite, kitoyota, kibajaji, LING'WIGULU, Lung'ola, UVIMBWIZI n.k. NITAMTWANGA NDOO MOJA ATAHISI KABAMIZWA NA LAND CRUISER.
Au bulldozer? Kilangila.
 
Nime zunguka nchi nzima hadi vijijini hali si mbaya kama tunavyoaminishwa kwenye mitandao.
Hata kipindi cha maandamano yaliyoratibiwa kwenye mitandao hasa na mange. Wakati huo nilikuwa serengeti mugumu, butiama, bunda na Musoma mjini. Kulikuwa shwari na by the way watu hawakuwa na habari kama kuna maandamano. People are busy doing jobs.

Serikali iendele kuchapa kazi. Hawa wapinzani uchwara wakina zito ni wanafiki sana wakipewa nafasi watauza nchi hawa. Tusije hata kuthubutu kuwapa madaraka
Vijijini unatafuta nini, nenda Tandale tu uone jinsi watu wanavyopigania miguu ya Kuku na utumbo wakalumagie na ugali. Kilangila.
 
Hao ndugu zako ni wapuuzi na hata weye ni mpuuzi namba 1. Nani alikwambia uchumi ni mbaya Nchi hii? Unaweza ukaotesha mchicha ukaishi. Unaweza kuuza kiti moto ukaishi. Hakuna kisichowezekana TZ. Labda uwe mwizi. Hapo tutakuchoma moto bro. Isiwadekeze nduguzo kwa vijihela vyako vya kusotea huko uliko. Tulishaishi huko ni bora rudi home kama ushapata angalau hata kijidiploma bro. Utadeki mpaka lini kwa hao wenzetu? Njoo udeki home bro.
Mpuuzi ni wewe na ndugu zako wanaofikiria uchumi unakua huku vitu mfukoni hamna kitu, sirudi kukaa na watu design yako siku nzima mnamwaga pumba tu hamna chochote productive mnachofanya, we umeambiwa kila aliye nje anadeki? hehehe kalio kweli we jamaa, ndicho ulichokua unafanya nje kumbe? pole sana elimu yako ulishindwa kuitumia.
 
Ongeza overtime ya kubeba maboksi,kutapisha vyoo na kukwangua barafu ili upate cha kuwatumia wavivu wako,na bado mpaka utembee kwa mikogo

Followers wa magu ni rahisi sana kuwatambua, siku zote hamfikirii makubwa mnawaza madogo tu, hata nje mmekaa mnawaza maboksi na vyoo tu yaani akili yako ndo inaishia hapo, nina uhakika we ni maskini. Unachokionyesha ni characteristics za mtu anayeamka hana la kufanya hadi anarudi kulala income zero. Pole sana
 
Umenikumbusha kale kakipande ka wagosi wa kaya "afalaleki walai na asubuhi ni mnazi badala ya chai"

Yaani ww uwe na data timilifu kuliko wachumi wenyewe, tena wamebobea wana kila nyenzo za kupata uhalisia kwa asilimia zote!! Mkuu jaribu kufanya research yako tena na tena.. Ndio utajua kuwa mjomba assaad na IMF hawapigi fix.
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom