Avanti
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 1,209
- 239
Wewe mtu wa ajabu sana! Je kuna mwenye hakimiliki ya kuwa mbunge mpaka kufa? Ni dhambi gani Dr. Mkumbo kumpinga Mh. Mwiguru kwa hoja kupitia kipindi cha this week in perspective? Hembu oanisha kimantinki uwepo wa Dr.Mkumbo na vurugu zilizotokea, ukishindwa tutaamini wewe ni mmoja wea wachumia tumbo katika siasa chafu za kisisiemu!
Hujanielewa nasema approach yake sio nzuri inaleta chuki na ndiyo maana anasababisha ndugu zake wanaanza kuchinjana!