Hali si shwari katika mradi wa SGR unaojengwa na Mkandarasi Yapi Merkez kutoka Uturuki kutokana na mgomo ulioanza leo wa Wakandarasi wa Kitanzania kusimamisha Construction equipments, Tipper, mabasi ya kubeba Wafanyakazi na Pick-Ups kwa ajili ya kubeba Ma enginia kuwapeleka site.
Habari za ndani kutoka katika kikubwa cha Soga ni kwamba kwa sasa kazi zimesimama na viongozi wa Yapi Merkez wamekusanyika kwa ajili ya kikao ili kutafuta suluhu ya jambo hilo.
Hata hivyo Rais Magufuli aliwahi kutoa maelekezo na kuagiza kwamba hao Wakandarasi wa hapa nchini walipwe fedha zao wanazodai kwa muda mrefu, lakini hadi sasa Yapi Merkezi hawajatekeleza agizo hilo la Rais.
Habari za ndani kutoka katika kikubwa cha Soga ni kwamba kwa sasa kazi zimesimama na viongozi wa Yapi Merkez wamekusanyika kwa ajili ya kikao ili kutafuta suluhu ya jambo hilo.
Hata hivyo Rais Magufuli aliwahi kutoa maelekezo na kuagiza kwamba hao Wakandarasi wa hapa nchini walipwe fedha zao wanazodai kwa muda mrefu, lakini hadi sasa Yapi Merkezi hawajatekeleza agizo hilo la Rais.