mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,777
- 6,454
WaTz waoga sana. Mafao ya wazee, Koroshow na hili la SGR mpo mpo tu!Msikilize JPM alivyotoa maagizo ambayo Waturuki hawakuyatekeleza. Haya Waturuki wanatuchezea sana sisi Watanzania wanatuona wapole, sasa ngoja waonje joto ya WaTZ. Hivi kweli sisi tungefanya hivi nchini kwao wangekubali unatumia vifaa vya watu miezi yote hiyo karibu mwaka hulipi hata senti.