Tetesi: Hali si shwari SGR muda huu. Wafanyakazi wanadaiwa kuanzisha mgomo

Msikilize JPM alivyotoa maagizo ambayo Waturuki hawakuyatekeleza. Haya Waturuki wanatuchezea sana sisi Watanzania wanatuona wapole, sasa ngoja waonje joto ya WaTZ. Hivi kweli sisi tungefanya hivi nchini kwao wangekubali unatumia vifaa vya watu miezi yote hiyo karibu mwaka hulipi hata senti.
WaTz waoga sana. Mafao ya wazee, Koroshow na hili la SGR mpo mpo tu!
 
Walisaini vipi mradi ambao mchina kakataa kuufanya kwa tril 7, watulipe kiukweli baadhi ya waturuki walikamatwa wanatorosha mamilion airport, hizo fedha wanazotorosha siwangezitumia kulipa subcontractors?.
Mkuu ujue nao wanafamilia huko kwao
 
wewe acha kusema uongo Sub Contractors wamegoma kama unabisha njoo site na mimi nipo site hakuna magari ya kuwapeleka Wafanyakazi kazini na viongozi wa Kituruki wapo kikao sasa hivi.
Site Ipi Ulipo
 
Msikilize JPM alivyotoa maagizo ambayo Waturuki hawakuyatekeleza. Haya Waturuki wanatuchezea sana sisi Watanzania wanatuona wapole, sasa ngoja waonje joto ya WaTZ. Hivi kweli sisi tungefanya hivi nchini kwao wangekubali unatumia vifaa vya watu miezi yote hiyo karibu mwaka hulipi hata senti.
Na nyinyi mmezidi kuchezewa, mabeberu wawachezee, Kenya wawachezee na Waturuki pia??
 
Site Ipi Ulipo
Mimi nimehudum site zote kuanzia marshalling,ngerengere,soga yenywewe ilala, na hata posta ambapo hawa alperderm ndio wanafanya issue za umeme. Namagari yote ya rent yamegoma kufanya kazi leo,baadhi ya engineers,teachnicians na vibarua wameshindwa kufika site maana hakuna magari yakuwapeleka.
 
Back
Top Bottom