Hali si shwari, sasa ni dhahiri kuwa nyumba ya jirani kuna moto unawaka

Mtini

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
1,478
2,301
Wamejaribu kuficha kwa muda mrefu ila moto hauwezi fichika kamwe. Ulianza ukimya wa mnyika, ukafuata ukimya wa Halima mdee sasa tunaona kauli ya Nasari na Rwakatare ni kama zinapingana na msimamo wa chama. Mapambano ya kumtafuta Ben saanane na kumtoa Lema ni kama yametelekezwa. Alekuwa mgombea anazunguka mitaani kutoa matumaini kuwa 2020 atashinda, nachojiuliza ameshapitishwa na chama kuwa mgombea?

Kigumu zaidi kueleweka ni kuona aliyekitelekeza chama kwenye uchaguzi mkuu kaanza kukisemea chama .

Anyway ngoja tusubiri TIME WILL TELL
 
Rwakatare kakanusha hilo tangazo, na nasari kama akili yako ndogo ndiyo unaweza ukasema anamsifia maghufuli lakini lile dongo ni la gambo kuwa ni wendawazimu kupinga maendeleo kisa kimeletwa na mwanasiasa ambaye ni mpinzani
 
Wamejaribu kuficha kwa muda mrefu ila moto hauwezi fichika kamwe. Ulianza ukimya wa mnyika, ukafuata ukimya wa Halima mdee sasa tunaona kauli ya Nasari na Rwakatare ni kama zinapingana na msimamo wa chama. Mapambano ya kumtafuta Ben saanane na kumtoa Lema ni kama yametelekezwa. Alekuwa mgombea anazunguka mitaani kutoa matumaini kuwa 2020 atashinda, nachojiuliza ameshapitishwa na chama kuwa mgombea?

Kigumu zaidi kueleweka ni kuona aliyekitelekeza chama kwenye uchaguzi mkuu kaanza kukisemea chama .

Anyway ngoja tusubiri TIME WILL TELL
Lipa kodi hii nchi isonge mbele, mlizoea kukitumia chama vibaya kipindi hiki mmeshikwa vibaya, kila mtu anaisoma namba peke yake, Mtoa mada naona huamini hata ndani ya chama chenu zimebaki rangi za kijani za bendera Tu, wote tunaisoma namba ila wale walipa kodi hakuna shida, Tatizo nyie wafia chama mnasoma namba za kirumi
 
Hamuwezi kuiangamiza CHADEMA kwa propaganda za kitoto kama hizi ambazo zimepikwa Lumumba.
 
Taifa masikini toka uhuru, Leo hii tuna awamu ya tano bado tuko kwenye kundi la nchi masikini duniani.. Halafu eti unapoteza muda wako kupambana na CDM na si kuikemea serikali iongeze speed maana tumeachwa mbali mno na muda si rafiki tena kwetu..
 
Acha kupoteza muda kupambana na CDM, taifa bado masikini tokea uhuru CDM wamekuja 1995. Tujitahidi kuikemea serikali iongeze speed kwenye utendaji taifa litoke kwenye tope na kizani.. CDM ni chama cha siasa tu hakina dola, hakikusanyi kodi, hakiajiri watu, hakijengi miundombinu, hakijengi shule wala zahanati.. Tupambane na tunayemlipa kodi zetu na kuvuja jasho letu atekeleze majukumu yake....
 
Wamejaribu kuficha kwa muda mrefu ila moto hauwezi fichika kamwe. Ulianza ukimya wa mnyika, ukafuata ukimya wa Halima mdee sasa tunaona kauli ya Nasari na Rwakatare ni kama zinapingana na msimamo wa chama. Mapambano ya kumtafuta Ben saanane na kumtoa Lema ni kama yametelekezwa. Alekuwa mgombea anazunguka mitaani kutoa matumaini kuwa 2020 atashinda, nachojiuliza ameshapitishwa na chama kuwa mgombea?

Kigumu zaidi kueleweka ni kuona aliyekitelekeza chama kwenye uchaguzi mkuu kaanza kukisemea chama .

Anyway ngoja tusubiri TIME WILL TELL
acha umbea

fanya kazi
 
Maxence why una tolerate TROLLS humu?

why usianzishe special threads za CCM na Nyingize CHADEMA za kutumbukiza hizi threads na posts zao?

We have far better national issues to discuss
Tafuta jukwaa la kwenda au hilo la "national interest"...au usisome na kutoa maoni kama unaona upuuzi au wewe anzisha hizo mada za "national interest".
 
Sisi TEMEKE Kata 14 tumeambia lazima sungusungu hukulinda usiku 50,000/- isiyo risiti ndio uwezo wao wa kuleta maendeo
 
Acha kupoteza muda kupambana na CDM, taifa bado masikini tokea uhuru CDM wamekuja 1995. Tujitahidi kuikemea serikali iongeze speed kwenye utendaji taifa litoke kwenye tope na kizani.. CDM ni chama cha siasa tu hakina dola, hakikusanyi kodi, hakiajiri watu, hakijengi miundombinu, hakijengi shule wala zahanati.. Tupambane na tunayemlipa kodi zetu na kuvuja jasho letu atekeleze majukumu yake....
Watanzania bwana watu wa ajabu sana hawapendi kusikia ukweli
 
Lipa kodi hii nchi isonge mbele, mlizoea kukitumia chama vibaya kipindi hiki mmeshikwa vibaya, kila mtu anaisoma namba peke yake, Mtoa mada naona huamini hata ndani ya chama chenu zimebaki rangi za kijani za bendera Tu, wote tunaisoma namba ila wale walipa kodi hakuna shida, Tatizo nyie wafia chama mnasoma namba za kirumi
ZIKIISHA ZA KIRUMI WATAANZA ALJEBRA
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom