Huyo hapitishwi. Anajipitisha. Mkikataa anasepa na kijiji!Wamejaribu kuficha kwa muda mrefu ila moto hauwezi fichika kamwe. Ulianza ukimya wa mnyika, ukafuata ukimya wa Halima mdee sasa tunaona kauli ya Nasari na Rwakatare ni kama zinapingana na msimamo wa chama. Mapambano ya kumtafuta Ben saanane na kumtoa Lema ni kama yametelekezwa. Alekuwa mgombea anazunguka mitaani kutoa matumaini kuwa 2020 atashinda, nachojiuliza ameshapitishwa na chama kuwa mgombea?
Kigumu zaidi kueleweka ni kuona aliyekitelekeza chama kwenye uchaguzi mkuu kaanza kukisemea chama .
Anyway ngoja tusubiri TIME WILL TELL
Ukweli mchungu BALAA...na bado maana hili LINASHANGAZA SANA KUONA UKIMYA WA HAWA WABUNGE WA CHADEMA...wakijitokeza tu WANAMUUNGA MKONO MZEE WETU MAGUFULI.......Maxence why una tolerate TROLLS humu?
why usianzishe special threads za CCM na Nyingize CHADEMA za kutumbukiza hizi threads na posts zao?
We have far better national issues to discuss
Ukweli mchungu BALAA...na bado maana hili LINASHANGAZA SANA KUONA UKIMYA WA HAWA WABUNGE WA CHADEMA...wakijitokeza tu WANAMUUNGA MKONO MZEE WETU MAGUFULI.......Mwanaume kuja na uzi wa kimbea huwa aibu sana, kwa tamaduni zetu za afrika. Labda kama upo dume jike hapo sawa.
Ndukiiiii
Unataka Mnyika, Nasari, Mdee na wengine wakazungumzie wapi ilhali siasa zimezuiwa hadi 2020, lakini pia inadhihirisha uko low maana ulishindwa hata kubaini dongo la Nasari kwa watawala mbele ya waziri mkuu!Wamejaribu kuficha kwa muda mrefu ila moto hauwezi fichika kamwe. Ulianza ukimya wa mnyika, ukafuata ukimya wa Halima mdee sasa tunaona kauli ya Nasari na Rwakatare ni kama zinapingana na msimamo wa chama. Mapambano ya kumtafuta Ben saanane na kumtoa Lema ni kama yametelekezwa. Alekuwa mgombea anazunguka mitaani kutoa matumaini kuwa 2020 atashinda, nachojiuliza ameshapitishwa na chama kuwa mgombea?
Kigumu zaidi kueleweka ni kuona aliyekitelekeza chama kwenye uchaguzi mkuu kaanza kukisemea chama .
Anyway ngoja tusubiri TIME WILL TELL
Watanzania bwana watu wa ajabu sana hawapendi kusikia ukweli
Huu uzi mbona kama unachangiwa na bavicha tuHumu kuna watu wana viwiliwili tu hawana vichwa hivi kweli m/kiti wako anawaambia wahanga kuwa hapeleki msaada wa chakula kwakuwa kuna kijani hukuona pa kuedit ila umeona Cdm ndo pakuedit! Shwaini! Au ubongo umeliwa na Cosmopolites soldidus
Wewe Majanga kweli ulifikiri amelitolea gizani, kalitoa mchena na kamera zinammulika.Rwakatare kakanusha hilo tangazo, na nasari kama akili yako ndogo ndiyo unaweza ukasema anamsifia maghufuli lakini lile dongo ni la gambo kuwa ni wendawazimu kupinga maendeleo kisa kimeletwa na mwanasiasa ambaye ni mpinzani
Hii ya Lwakare kumsifia rais pamoja na mkuu wa mkoa nimeona ITV wameirusha leo kwenye taarifa ya habari saa mbili usiku. Tena akaenda mbali kwa kumuunga mkono Rais kwamba ni kweli serikali haiwezi fanya mambo yote akimaanisha kuwajengea nyumba wananchi.Rwakatare kakanusha hilo tangazo, na nasari kama akili yako ndogo ndiyo unaweza ukasema anamsifia maghufuli lakini lile dongo ni la gambo kuwa ni wendawazimu kupinga maendeleo kisa kimeletwa na mwanasiasa ambaye ni mpinzani
Hizi ni dalili z a kufirisika kisera. Wenzako wametuli wanafanya yao wewe unahangaika.Wamejaribu kuficha kwa muda mrefu ila moto hauwezi fichika kamwe. Ulianza ukimya wa mnyika, ukafuata ukimya wa Halima mdee sasa tunaona kauli ya Nasari na Rwakatare ni kama zinapingana na msimamo wa chama. Mapambano ya kumtafuta Ben saanane na kumtoa Lema ni kama yametelekezwa. Alekuwa mgombea anazunguka mitaani kutoa matumaini kuwa 2020 atashinda, nachojiuliza ameshapitishwa na chama kuwa mgombea?
Ncho nzima vijana saa hii bavichaHuu uzi mbona kama unachangiwa na bavicha tu