Uchaguzi 2020 Hali si shwari ndani ya CCM, Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Bashiru Ally amekemea vikali baadhi ya wanachama wanaopanga kukisaliti chama

Hivi wewe kwa jinsi magufuli alivyowatukana wahaya kwenye tetemeko na jinsi alivyowatesa kabendera na mama yake hadi mama yake akafariki kwa akili zako unategemea magufuli aungwe mkono na wahaya????

Magufuli akipata hata kura 100 za wahaya iyo October 28 a Shukuru sana Mungu!
Umenikumbusha Kabendera na kifo cha mama yake aisee nawaunga mkono Wahaya
 
Naona huku kuna joto kali sana ndani ya CCM mwenyekiti wa ccm mkoa wa kagera anapokea maaigizo kutoka juu kuwa awaadhibu wasaliti walioko ndani ya chama pia bashiru anataka apewe orodha ya wasaliti mara moja.
CCM wamebadilisha maana ya USALITI kabisa:
1.Ukipinga
2.Ukikosoa
3.Ukiwasema
4.Ukiwakataza
5.Ukiwashtaki
6.Ukiwapuuza
7.Ukiwakemea
8.Ukitoa mawazo mbadala
Wewe ni MSALITI! Naona kikundi cha WASALITI kina kuwa tu. Yote ni Kheri.
 
Hii aina nguvu, huwezi kuweka watu sehemu muhimu usio wafahamu kisa tu unepuka ukanda. Kassim Majaliwa, Kabudi, Kitila, Mwigulu nao ni wakanda ya ziwa?
Pangua hao aliowaorodhesha kwanza, hizo ni nafasi nyeti tena ukiongeza jaji mkuu msukuma na ndio maana tumeona mahakama zikiamua kisiasa.

Ukanda kwa hao wewe unataka baraza lote la mawaziri watoke huko ndio uthibitishe ukanda?
 
Hivi wewe kwa jinsi magufuli alivyowatukana wahaya kwenye tetemeko na jinsi alivyowatesa kabendera na mama yake hadi mama yake akafariki kwa akili zako unategemea magufuli aungwe mkono na wahaya????

Magufuli akipata hata kura 100 za wahaya iyo October 28 a Shukuru sana Mungu!
Mimi ya kwangu anayo
 
Back
Top Bottom