Marshall plan
JF-Expert Member
- Nov 3, 2019
- 644
- 980
Hawezi kututukana kwa matusi na kejeli zile ili Hali alijua tumepata janga kubwa la tetemeko!! Sisi sio wajinga alikuja na jeuri tumemrudisha kwa jeuri!!
Umenikumbusha Kabendera na kifo cha mama yake aisee nawaunga mkono WahayaHivi wewe kwa jinsi magufuli alivyowatukana wahaya kwenye tetemeko na jinsi alivyowatesa kabendera na mama yake hadi mama yake akafariki kwa akili zako unategemea magufuli aungwe mkono na wahaya????
Magufuli akipata hata kura 100 za wahaya iyo October 28 a Shukuru sana Mungu!
CCM wamebadilisha maana ya USALITI kabisa:Naona huku kuna joto kali sana ndani ya CCM mwenyekiti wa ccm mkoa wa kagera anapokea maaigizo kutoka juu kuwa awaadhibu wasaliti walioko ndani ya chama pia bashiru anataka apewe orodha ya wasaliti mara moja.
Mbona mlijaa sana kwenye mkutano wake alipokuja hukoHawezi kututukana kwa matusi na kejeli zile ili Hali alijua tumepata janga kubwa la tetemeko!! Sisi sio wajinga alikuja na jeuri tumemrudisha kwa jeuri!!
Hata mie ningekuwa muhaya tena ndo ningehakikisha hapati hata kura 1 ya muhaya!Umenikumbusha Kabendera na kifo cha mama yake aisee nawaunga mkono Wahaya
Pangua hao aliowaorodhesha kwanza, hizo ni nafasi nyeti tena ukiongeza jaji mkuu msukuma na ndio maana tumeona mahakama zikiamua kisiasa.Hii aina nguvu, huwezi kuweka watu sehemu muhimu usio wafahamu kisa tu unepuka ukanda. Kassim Majaliwa, Kabudi, Kitila, Mwigulu nao ni wakanda ya ziwa?
Wewe unaamini shazi la mikutano ya Jiwe??? Watu wanapiga pesa jombaa si unajua mzunguko wa hela ulivyo mbovu mikoani na nchini kwa ujumla???Mbona mlijaa sana kwenye mkutano wake alipokuja huko
Mimi ya kwangu anayoHivi wewe kwa jinsi magufuli alivyowatukana wahaya kwenye tetemeko na jinsi alivyowatesa kabendera na mama yake hadi mama yake akafariki kwa akili zako unategemea magufuli aungwe mkono na wahaya????
Magufuli akipata hata kura 100 za wahaya iyo October 28 a Shukuru sana Mungu!
Ishomile maana yake nini ?Mimi ya kwangu anayo
kosa kubwa watakalolijutia daima ni NEC kumpitisha Tundu Lissu kugombea urais.Maji yameshakorogeka.
Duniani bila wajinga haiwezekani. Lazima wajinga muwepo ili dunia iende.Mimi ya kwangu anayo
Wewe unahisi maana yake nini?Ishomile maana yake nini ?
Acha tu kuna yule Mfanyabiashara Ali Mufuruki, nasikia nae walikosana na Jiwe akamfanyiziaSi kabendela tu tu hata yule lwijabe alitepote katika mazingira ya kutatanisha kisha kunyongwa , asifikiri tumesahau.
The same bila elites kama wewe pia Dunia haiwezekaniDuniani bila wajinga haiwezekani. Lazima wajinga muwepo ili dunia iende.
Sihisi chochoteWewe unahisi maana yake nini?
Unamaanisha jiwe ni muuaji ?Acha tu kuna yule Mfanyabiashara Ali Mufuruki, nasikia nae walikosana na Jiwe akamfanyizia
Una ushahidi?Acha tu kuna yule Mfanyabiashara Ali Mufuruki, nasikia nae walikosana na Jiwe akamfanyizia
Basi nyamazaSihisi chochote