Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Jide a.k.a Commandor, aongezwe labda itasaidia.Tutampeleka Diamond,atakubalika tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Jide a.k.a Commandor, aongezwe labda itasaidia.Tutampeleka Diamond,atakubalika tu...
Naishi shy Hali ni mbaya tunaenda na Salome tumefight Sana nafasi wanapewa wageniMkuu, mbona hali halisi ni tofauti na haya uliyoyaandika? Umesimuliwa, au nawe upo Shinyanga?
Tatizo.kubwa sana.hiliKazi ya Katambi ni kumtukana Lisu na Mbowe sio kuleta maendeleo.
Wakudadavuwa njoo kuna mchokoziCCM na watu wake imekataliwa duniani mpaka akhera.
CCM na watu wake imekataliwa mpaka na shetwani mwenyewe.
CCM na watu wake imekataliwa mpaka na viumbe hai vilavyo takataka.
Wanaccm wako kwenye denial phase hakuna hata wanachokubali hata kama macho na masikio yameshahisi mabadilikoNaishi shy Hali ni mbaya tunaenda na Salome tumefight Sana nafasi wanapewa wageni
Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
Speech za kitapeli tapeli nyingi mno.na vijisiasa Fulani vyepesi vyepesi.Abakie benchi tu huyu halafu akapige mswaki kwanza. Meno yake machafu.
Yule Dada wa Chadema hatajibu kwa ...Mbina ya.Beni.na Wigashe....Naona.katulia sana. ni mtoto wa mjini.hapo nasikia.Tunapeleka mbina ya chagulaga wasukuma hawanaga makuu,
Hana ushawishi,huko msanii waliye mjua alikuwa marehemu.Kanumba tu...wengine hakuna.Labda walete Maliboto kidogo
Uko siriasi sana mkuu.aisee.MUHIMU...Naamini ni ujinga, kama anateuliwa mtu kwa vile anauwezo wa kuongea mbovu, anakitetea chama bila kujali, tuwaridhishe kundi la wasanii, ni ulofa, kazi ya huko ni zaidi ya mambo hayo, kuna kuchambua mambo na kushauri, sasa hii itapelekea kutungwa kwa sheria mbovu kama zile za takwimu!
Nasikia.anachangisha tena.za kufanyia.mkutano wa pili,vipi ni.makosa ama?Ila watu.wanachangaHali ni mbaya wapi.mnakaa kwenye vijiwe vya kahawa na kwenye mapool table na kujipa moyo mnashinda..huyo mgombea wenu kafanya mkutano 1 tangu kampeni zianze.pesa hata ya kuandaa mkutano hana.unajitekenya mwenyewe kisha unacheka mwenyewe huo ni uzwazwa
Hana ushaushawishi afisa unasoma SAUTAfisa kipenyo vipi tena
Muuza kuku alikuwa anakubalika sana! Ila nahisi walimuua!!Katambi kushinda hilo jimbo ni lazima nguvu kubwa sana itumike kama ile iliyotumika kumpitisha Masele dhidi yake na muuza kuku wa nguzo 8 marehemu shelembi
Andika kwa herufi ndogo membe ata ungekuwa nae wewe na familia yako ni sawa tuUMMA WOTE TUNAJUA CHADEMA BADO MNA BIFU KUBWA KWA KATAMBI NA HUU UZI NI MOJA YA MIKAKATI YENU ILI KUMFIGISHA KATAMBI.
LAKINI UKWELI NI KWAMBA SHINYANGA IKO NA KATAMBI.
MLIUHADAA ULIMWENGU KWAMBA MKO NA MEMBE, MBONA HATUWAONI??
WANAFIKI WA TAIFA NYIE!
Ule mkataba wa kumshambulia Lissu aliopewa Katambi unaisha lini?
Kwani SAUT sio chuoHana ushaushawishi afisa unasoma SAUT
Wakigoma wajue wanapoteza fursa ya Masele kuula ubalozi nchi nonononoHali ni tete kwa mgombea wetu wa CCM hapa katika Jimbo la Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi. Katambi ambaye alikataliwa na 'Wajumbe' wakati wa kura za maoni ndani ya CCM, alipitishwa 'kibabe' na Kamati Kuu na NEC ya CCM kule Dodoma. Katambi, katika kura za maoni, aliachwa mbali mno na aliyekuwa Mbunge wa hapa Steven Masele ambaye jina lake lilikatwa Dodoma.
Katika kuonesha kinyongo kisicho na uongo, makada wa CCM hapa Shinyanga Mjini wamekuwa wakijitenga na Katambi hadharani na sirini. Katika harakati za kuokoa jahazi na kuulinda ushindi wa CCM, Mbunge wa zamani Masele 'ameombwa' na viongozi waandamizi wa CCM Taifa kumsaidia Katambi katika kampeni zake. Ameahidiwa kuwa endapo CCM ikishinda Urais atapatiwa nafasi ya Ubalozi au nyingine tamutamu.
Masele hana tatizo na hilo. Lakini, wafuasi na wasukamipango wake wamegoma 'kumruhusu' kumsaidia Katambi wakidai kuwa Katambi hauziki hata kama utapigwa na muziki. Pamoja na kwamba CCM ndiyo watetezi wa hapa Shinyanga Mjini, hali yetu si nzuri kulingana na taswira iliyochorwa ya mgombea wetu. Katambi anatajwa kama asiye na ushawishi wowote na kusemwa kuwa 'anatakiwa' tu Bungeni kwenda kuwaongelea mbovu wapinzani.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Shinyanga Mjini)
Nasikia.anachangisha tena.za kufanyia.mkutano wa pili,vipi ni.makosa ama?Ila watu.wanachanga
Sent using Jamii Forums mobile app