Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,404
- 79,649
Rudia upya kutafuta taarifa.Corona ipo Arusha.. dar.. mwanza.. bukoba.. Moshi hakuna Corona tafadhal Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Rudia upya kutafuta taarifa.Corona ipo Arusha.. dar.. mwanza.. bukoba.. Moshi hakuna Corona tafadhal Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema Wewe ndio utakufa usisemee roho ya MTU mwingine .Wewe ndie utakufa kama kideri kama unavyojisemeaTutakufa kama kuku wenye kideri.
Wasalaam,
Leo nimebahatika kupita stand kuu pamoja na mitaa inayouzunguka Mji wa Moshi.
Aisee bado Watanzania hatujachukulia corona katika uzito wa juu! Kiukweli ugonjwa huu Kama upo mitaani Basi sambaa yake itakuwa mithili ya 5G.
Yani nimejionea watu stand wakiishi kana kwamba hakuna kinachochoendelea dhidi ya corona, nimejionea vijana wadogo wa shule wakinunua mahindi ovyo ovyo stand na kula , huku wateja wengine wakigusagusa hayo mahindi na kuyaacha pale na wengine wanakuja wananunua hayo hayo.
Saivi zoezi la kunawa mikono halitiliwi tena maanani, mji mzima nimewaona watu wawili tu wakiwa wamevalia viziba midomo.
Kwakwel kwa jinsi corona inavosambaa afu ukitizama na mienendo tuliyonayo mda huu, Basi utabakia kusema bado Mungu ameweka mkono wake juu ya Tanzania.
Huruma ya mungu sio kwenye covid 19 tu,mungu amekua akitulinda kila nyakati katika mazingira yoyote HAKUNA UWEZA WALA NGUVU ISIPOKUA KWAKEWasalaam,
Leo nimebahatika kupita stand kuu pamoja na mitaa inayouzunguka Mji wa Moshi.
Aisee bado Watanzania hatujachukulia corona katika uzito wa juu! Kiukweli ugonjwa huu Kama upo mitaani Basi sambaa yake itakuwa mithili ya 5G.
Yani nimejionea watu stand wakiishi kana kwamba hakuna kinachochoendelea dhidi ya corona, nimejionea vijana wadogo wa shule wakinunua mahindi ovyo ovyo stand na kula , huku wateja wengine wakigusagusa hayo mahindi na kuyaacha pale na wengine wanakuja wananunua hayo hayo.
Saivi zoezi la kunawa mikono halitiliwi tena maanani, mji mzima nimewaona watu wawili tu wakiwa wamevalia viziba midomo.
Kwakwel kwa jinsi corona inavosambaa afu ukitizama na mienendo tuliyonayo mda huu, Basi utabakia kusema bado Mungu ameweka mkono wake juu ya Tanzania.
Wanapoona namba inaongezeka Dar tu wanahisi wao wako salama. Habari mbaya ni kuwa tayari kesi za Kilimanjaro zimesharipotiwa. Kuanzia kesho watachukua tahadhari tu bila kupenda.Wasalaam,
Leo nimebahatika kupita stand kuu pamoja na mitaa inayouzunguka Mji wa Moshi.
Aisee bado Watanzania hatujachukulia corona katika uzito wa juu! Kiukweli ugonjwa huu Kama upo mitaani Basi sambaa yake itakuwa mithili ya 5G.
Yani nimejionea watu stand wakiishi kana kwamba hakuna kinachochoendelea dhidi ya corona, nimejionea vijana wadogo wa shule wakinunua mahindi ovyo ovyo stand na kula , huku wateja wengine wakigusagusa hayo mahindi na kuyaacha pale na wengine wanakuja wananunua hayo hayo.
Saivi zoezi la kunawa mikono halitiliwi tena maanani, mji mzima nimewaona watu wawili tu wakiwa wamevalia viziba midomo.
Kwakwel kwa jinsi corona inavosambaa afu ukitizama na mienendo tuliyonayo mda huu, Basi utabakia kusema bado Mungu ameweka mkono wake juu ya Tanzania.
Wanapoona namba inaongezeka Dar tu wanahisi wao wako salama. Habari mbaya ni kuwa tayari kesi za Kilimanjaro zimesharipotiwa. Kuanzia kesho watachukua tahadhari tu bila kupenda.
Mkuu nakuomba kwa jina la alie juu kauli yako isitimie hapa kwetu ile hali sio kaka
Mi kweli. Maana hiyo sample ichukuliwe huko Klm isafirishwe mpaka Dar, which is a one day journey. Haya ukute maabara nako kulikuwa na sampuli nyingine kwenye foleni. Muda huo mgonjwa anaendelea na maisha kule huku akisubiri majibu yaje.Huyo mgonjwa Hadi virusi vimeonekana ujue zimepita siku kadhaa... Je uko alikopitapita..? Hali ikoje?
Wewe ni mjinga unayeukaribia upumbavu, hujui positive impacts ya social networks Kama JF,
Hujui kaa kimya usome wengine wanaandika nini