Akilitime
JF-Expert Member
- Dec 27, 2017
- 581
- 757
Wasalaam,
Leo nimebahatika kupita stand kuu pamoja na mitaa inayouzunguka Mji wa Moshi.
Aisee bado Watanzania hatujachukulia corona katika uzito wa juu! Kiukweli ugonjwa huu Kama upo mitaani Basi sambaa yake itakuwa mithili ya 5G.
Yani nimejionea watu stand wakiishi kana kwamba hakuna kinachochoendelea dhidi ya corona, nimejionea vijana wadogo wa shule wakinunua mahindi ovyo ovyo stand na kula , huku wateja wengine wakigusagusa hayo mahindi na kuyaacha pale na wengine wanakuja wananunua hayo hayo.
Saivi zoezi la kunawa mikono halitiliwi tena maanani, mji mzima nimewaona watu wawili tu wakiwa wamevalia viziba midomo.
Kwakwel kwa jinsi corona inavosambaa afu ukitizama na mienendo tuliyonayo mda huu, Basi utabakia kusema bado Mungu ameweka mkono wake juu ya Tanzania.
Leo nimebahatika kupita stand kuu pamoja na mitaa inayouzunguka Mji wa Moshi.
Aisee bado Watanzania hatujachukulia corona katika uzito wa juu! Kiukweli ugonjwa huu Kama upo mitaani Basi sambaa yake itakuwa mithili ya 5G.
Yani nimejionea watu stand wakiishi kana kwamba hakuna kinachochoendelea dhidi ya corona, nimejionea vijana wadogo wa shule wakinunua mahindi ovyo ovyo stand na kula , huku wateja wengine wakigusagusa hayo mahindi na kuyaacha pale na wengine wanakuja wananunua hayo hayo.
Saivi zoezi la kunawa mikono halitiliwi tena maanani, mji mzima nimewaona watu wawili tu wakiwa wamevalia viziba midomo.
Kwakwel kwa jinsi corona inavosambaa afu ukitizama na mienendo tuliyonayo mda huu, Basi utabakia kusema bado Mungu ameweka mkono wake juu ya Tanzania.