kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
Inasemekana ule mgogoro unaoendelea mkoani Manyara umezidi kushika kasi baada ya mwekezaji mmoja kuwekewa kizuizi na hatimaye kushambuliwa kwa mapanga mpaka kufa na watu wasiojulikana.
Polisi wameweka kambi eneo la tukio kuwasaka wahusika.
Source: Usiku wa habari TBC.
Polisi wameweka kambi eneo la tukio kuwasaka wahusika.
Source: Usiku wa habari TBC.