Futa futa futa tena na uwe kimya maana ukiandika mtwara twn itakua balaaa hasa huku Nanyamba. Hatuja .... na mie simalizii naacha
Hizi korosho zote serikali inajua pa kwenda kuziuza?Hali ni shwari kabisa.
Hakuna manunguniko ni zoezi la kuuza na kununua tu kwa bei elekezi linaendelea.
Kama kuna waliodhani ni mbwembwe huku ndio kwanza kumekucha.
Hongera Serikali wananchi wananufaika.
Akikujibu nistue mkuu
Pesa imetoka benki ya kilimo,hii ni habari mbaya sana kwenu chademaHivi fedha za kununua korosho na kugharamia operesheni hii ya kijeshi zimepitishwa na nani?
Na mimi naanza kupata wasiwasi kuhusu soko la korosho labda tuuziane humu humu nchini maana kweli bei nje imepanda lakini wanunuzi wanachagua kilicho nafuu zaidi. Soma hapa.Globally, cashew snacks take a hit following Tanzania President’s nutty moveHizi korosho zote serikali inajua pa kwenda kuziuza?