mseseve
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 511
- 89
Nadiriki kusema hali ni mbaya sana kwa Taifa letu huko tunakoelekea ni wapi? Watu sasa hivi hawawaogopi tena viongozi wao wanafikia hatua ya kujaribu hata kumpiga mkuu wa wilaya?
Uko wapi utu wetu na heshima yetu kama watanzania! Kwa kweli kilichotokea Igunga mimi binafsi ijaunga mkono na hata sintosita kutofautiana na mtu yeyote yule anayediriki kumdhalilisha kiongozi yeyote hata kama ni wa ngazi ya chini.
Ndiyo basi natuseme ni kiongozi wa wilaya wameweza kumdhalilisha huyo watashindwa je huko tuendako kuja hata kumfanyia vivyo hivyo mkuu wetu wa nchi?mimi binafsi siungi mkono kile alichotaka kufanya likini sio kujichukulia sheria mkononi kumdhalilisha mkuu wetu wa wilaya tena mbele ya watoto wake.
JAMANI TULIANGALIE HILI LA MAADILI TUNAELEKEA WAPI?
Uko wapi utu wetu na heshima yetu kama watanzania! Kwa kweli kilichotokea Igunga mimi binafsi ijaunga mkono na hata sintosita kutofautiana na mtu yeyote yule anayediriki kumdhalilisha kiongozi yeyote hata kama ni wa ngazi ya chini.
Ndiyo basi natuseme ni kiongozi wa wilaya wameweza kumdhalilisha huyo watashindwa je huko tuendako kuja hata kumfanyia vivyo hivyo mkuu wetu wa nchi?mimi binafsi siungi mkono kile alichotaka kufanya likini sio kujichukulia sheria mkononi kumdhalilisha mkuu wetu wa wilaya tena mbele ya watoto wake.
JAMANI TULIANGALIE HILI LA MAADILI TUNAELEKEA WAPI?