Mkuu ukweli hausemwi tu ila watumishi wengi (sio wote) wa serikali wana mgomo fulani hivi! na shida ya nchi zetu za kiafrika ni priority zetu, kwetu sisi ni bora kununua magari mengi ya washawasha, kuliko kuimarisha huduma za afya! Kwa sasa watumishi wengi wa serikali wanaingia kazini ontime ila kacheki output yao mwisho wa siku ndo utajua tofauti ya gov na private sector! tukubali tukatae ni lazima serikali icheki tena namna pesa za walipa kodi zinavyotumika, hebu cheki vipato wanavyopata wabunge halafu leo hii mtu kasota kusoma chuo kama muhimbili tena karudiarudia weeee halafu anaanza kazi na anategemewa atende kazi kwa moyo wake wote! then kuna bint mbiiiichi kama yule mtoto wa Bulmbb ambaye hata miaka 24 hajafika keshapata mkopo wa gari ML 90, je ni wangapi watakuwa hivyo maana si wote wenye hofu kwamba wanawajibika kwa Mungu kabla ya wanadamu! Kiukweli vitu vya public quality duni!Hizo wodi za muhimbili & Moi hiyo ni kawaida sana mkuu,madaktari siku zote hawana muda wanawahi kazi binafsi ..........Ukiwa mgonjwa ndio utajua tabia ya madaktari na manesi hasa ukiwa umelazwa.Tuombe mungu
Ndo maana ukifuatilia sana matendo ya serikali unaweza ishia mkufuru Mungu! cha msingi ni mtu kutafuta mafanikio kwa bidii na kutumia fursa zilizopo ili kuinufaisha jamii yako!