Hali ni mbaya Tarime: Polisi watembeza Mabomu usiku huu; Kina Lissu wakamatwa

Habari zilizonifikia hivi punde ni kuwa huko Tarime hali ni mbaya sana baada ya Polisi kupiga Mabomu na kuwakamata Lissu ,Waitara na Makamanda wengine wa CHADEMA.Polisi wamepiga mabomu hayo ili wapate nafsai ya kuvamia Mochwari walikohifadhiwa marehemu.Hali si shwari kabisa.

Naomba tuwaombee wenzetu wote wa Tarime ili MUNGU awalinde na kuwaepusha na mabaya zaidi.

Yote haya yanasababishwa na rais lege lege ambaye anakumbatia wezi wa rasilimali na urithi wa Watanzania, sio kumlaumu lakini kutokana na u k w e r e wake ie jamii anayotoka ya watu wavivu ambao hawakupigana hata vita katika kabila lake ambalo wengi walichukuliwa utumwa anaona ni sawa na ufahari kwa Watanzania kuwa watumwa ndani ya nchi yao. tunahitaji kumwondoa huyu kibaraka kabla mambo mengi hayajaenda mrama.
 
Jamani mbona polisi wanazidi kuichafua amani yetu,maana wao ndio wanaoichafua amani ya watanzania mbali mbali bila sababu ya msingi.Mungu ibariki Tarime na watu wake,Mungu ibariki Tanzania.
 
Tunashukuru kwa kutuletea hii habari. Mungu awaepushie mbali na mikono ya hawa magamba wasio na roho ya huruma na binadamu. Utadhani wao wataishi hapa milele.



habari zilizonifikia hivi punde ni kuwa huko tarime hali ni mbaya sana baada ya polisi kupiga mabomu na kuwakamata lissu ,waitara na makamanda wengine wa chadema.polisi wamepiga mabomu hayo ili wapate nafsai ya kuvamia mochwari walikohifadhiwa marehemu.hali si shwari kabisa.

Naomba tuwaombee wenzetu wote wa tarime ili mungu awalinde na kuwaepusha na mabaya zaidi.
 
Yote haya yanasababishwa na rais lege lege ambaye anakumbatia wezi wa rasilimali na urithi wa Watanzania, sio kumlaumu lakini kutokana na u k w e r e wake ie jamii anayotoka ya watu wavivu ambao hawakupigana hata vita katika kabila lake ambalo wengi walichukuliwa utumwa anaona ni sawa na ufahari kwa Watanzania kuwa watumwa ndani ya nchi yao. tunahitaji kumwondoa huyu kibaraka kabla mambo mengi hayajaenda mrama.

siyo busara kabisa, mshambulie rais kama yeye na si kabila lake.
 
Yote haya yanasababishwa na rais lege lege ambaye anakumbatia wezi wa rasilimali na urithi wa Watanzania, sio kumlaumu lakini kutokana na u k w e r e wake ie jamii anayotoka ya watu wavivu ambao hawakupigana hata vita katika kabila lake ambalo wengi walichukuliwa utumwa anaona ni sawa na ufahari kwa Watanzania kuwa watumwa ndani ya nchi yao. tunahitaji kumwondoa huyu kibaraka kabla mambo mengi hayajaenda mrama.

acha upuuzi wewe!udhaifu wa rais si udhaifu wa kabila lake.
 
Ndugu watanzania,sasa polisi ndo adui wetu mkubwa. Tunasema serikali serikali,lakini wanaotuua ni polisi,sasa kwangu polisi amekuwa adui na siwezi kukubali kuwa karibu na adui tena. Hapa tuamke dhidi ya adui nduli polisi,haijalishi ana elimu gani,ndogo au kiasi,ila anapaswa atumie common sense. Sikubali.
 
Nasikia aina fulani ya hasira ndani yangu. Ngoja niondoke kwenye key board hii..............maana nasikia kuvimba kwa hasira isiyoonekana.......
 
Nasikia aina fulani ya hasira ndani yangu. Ngoja niondoke kwenye key board hii..............maana nasikia kuvimba kwa hasira isiyoonekana.......

KAA we sema tu unataka kulala, huu ni mda wa mapambano hupaswi kulala mpaka kieleweke. kufa au kupona potelea mbali.
 
sababu za kuwang'oa tunazo, uwezo wa kuwang'oa tunao na huu ndio wakati muafaka wa kutekeleza hili. Kama serikali inaua raia halafu inatumia nguvu kuficha ushahidi na kuwadhalilisha wafiwa hiyo serikali imepoteza mwelekeo na inabidi iondoke. I am very angry
 
ni kuwa tangu majira ya saa moja jion leo polisi walipeleka barua kwa katibu wa cdm na kuwaeleza kuwa kutokana na sababu za kiintelijensia hawaruhusu marehemu kuagwa kesho uwanja wa saba saba kama walivyokubaliana jana.
ZIkawepo taarifa zilizovujishwa na polisi wadogo kuwa wanalazimishwa kwenda kuchukua maiti usiku huu mochwari ila hawajaambiwa wanazipeleka wapi ,ndipo wananchi na wakina lissu wakaamua kwenda kushirikiana kulinda marehemu wao.
Polisi kuona ivo wakakata umeme tangu saa moja usiku na ilipofika saa nne wakaenda kuwavamia na wamewapiga sana mabomu ili kuwatawanya na kuwakamata hata wazazi wa marehemu,na kuchukua miili .sasa ilipopelekwa hapajulikani mpaka sasa.
JAna Marando na CHAGONJA walikubaliana kuwa marehemu wataagwa kwa heshima za mwisho kutolewa uwanjani. sasa sijui hali itakuwaje.
na sasa watu wanapiga yowe ambalo ni ishara kuwa kila mwenye silaha atoke maana kuna jambo la hatari.
ntawajuza zaidi baadae.
Kumbe chanzo chake ni hicho!.Wacha nikalale.
 
Haki ya mnyonge ipo mikononi mwake! silaha yoyote iliyo mbele yake ni nyenzo muhimu ya ukombozi!

Nipo pamoja na wana tarime piganieni haki yenu mpaka tone la mwisho MUNGU yupo pamoja nanyi!!!!!!
 
Back
Top Bottom