mtotomtamuu
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 602
- 1,454
Hili jambo limenishtua kwa kweli, mpaka nimejiuliza huu ni mwezi wa saba au ni wa kumi na mbili
Hili jambo limenishtua kwa kweli, mpaka nimejiuliza huu ni mwezi wa saba au ni wa kumi na mbiliView attachment 442642
Atulie kwanza, mimi tar 22 (God willing) niko njiani..Msimu unafunguka tar.15 mjomba.... We ni mgeni na safari za kaskazini kwa misimu hii ya sikukuu??? Njoo tar.20 ubungo tukufurahishe.
Miaka yote ealikuwa wanaenda kufanya nn Arusha kwann na mwaka huu wasendeKama hawana cha kwenda kufanya huko Arusha kwa nini wajaze magari?
Sema Gari ulilopanda lina abiria 20 sasa wewe umekazana tu hali ngumu hali ngumu.Hili jambo limenishtua kwa kweli, mpaka nimejiuliza huu ni mwezi wa saba au ni wa kumi na mbiliView attachment 442642