Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
Nimeshtushwa na matamshi ya Naibu Waziri Dkt. Ndugulile kwamba Serikali inaandaa mwongozo wa uzikaji Covid19 victims.
Sasa kama hakuna anayekufa, mwongozo wa nini?
Kama ugonjwa huu haipo Tanzania, why mwongozo?
Its likely tumedanganywa, na hali ni mbaya.
Ile 256 inaweza kuwa sahihi
Hato yamebainishwa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Faustine Ndugulile. Alisema hayo juzi usiku kwenye kipindi cha MIALE, kinachorushwa na kituo cha televisheni cha TBC1.
Dk Ndugulile alisema baada ya Rais Dk John Magufuli, kuruhusu ndugu kuzika marehemu wao, waliokufa kwa virusi vya corona na kuhakikisha wamehifadhiwa vizuri na vifaa vya PPE, ikiwemo mifuko maalum, wizara imeona ni vyema ikaandaa mwongozo wa jinsi gani marehemu hao watakuwa wanazikwa na ndugu zao.
“Tunataka tutoe mwongozo wa jinsi gani marehemu wa COVID-19 atazikwa, hii ni kuanzia jinsi gani atasafishwa na kufungwa kwenye mifuko maalum na hata idadi ya watu watakaoruhusiwa kuzika, kwa sababu tumeona hata baadhi ya viongozi wa dini wanashiriki wengi kwenye maziko, sasa hii ni hatari, lazima tuweke mwongozo kwenye hili kwa haraka,” alisema Dk Ndugulile.
Habari Leo
Sasa kama hakuna anayekufa, mwongozo wa nini?
Kama ugonjwa huu haipo Tanzania, why mwongozo?
Its likely tumedanganywa, na hali ni mbaya.
Ile 256 inaweza kuwa sahihi
.
SERIKALI imesema iko mbioni kutoa mwongozowa mazishi na maziko ya marehemu wa virusi vya corona, ili ndugu na waombolezaji wengine, wasiwe kwenye hatari ya kupata maambukizi ya virusi hivyo.
Hato yamebainishwa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Faustine Ndugulile. Alisema hayo juzi usiku kwenye kipindi cha MIALE, kinachorushwa na kituo cha televisheni cha TBC1.
Dk Ndugulile alisema baada ya Rais Dk John Magufuli, kuruhusu ndugu kuzika marehemu wao, waliokufa kwa virusi vya corona na kuhakikisha wamehifadhiwa vizuri na vifaa vya PPE, ikiwemo mifuko maalum, wizara imeona ni vyema ikaandaa mwongozo wa jinsi gani marehemu hao watakuwa wanazikwa na ndugu zao.
“Tunataka tutoe mwongozo wa jinsi gani marehemu wa COVID-19 atazikwa, hii ni kuanzia jinsi gani atasafishwa na kufungwa kwenye mifuko maalum na hata idadi ya watu watakaoruhusiwa kuzika, kwa sababu tumeona hata baadhi ya viongozi wa dini wanashiriki wengi kwenye maziko, sasa hii ni hatari, lazima tuweke mwongozo kwenye hili kwa haraka,” alisema Dk Ndugulile.
Habari Leo