Poleni na majukumu wana JF
Pamoja na kuambiwa kuwa uchumi wetu umepanda lakini hali ni mbaya mno, nasema hali ni mbaya tena mno wafanyabiashara/wajasiliamali wa kada zote wanalalamikia ugumu wa hali kibiashara, wengi wetu mnajua kuwa wafanyabiashara/wajasiliamali wengi wanaendesha shuguli zao kupitia taasisi za mikopo hususani mabenki. Sasa kuna tishio la watu kufilisiwa mali zao kwani wengi wao wamekopa na wameshindwa kulipa kutokana na ugumu wa hali.
Swali ni Je! nini kifanyike ili kwanusuru watu hawa?
Pamoja na kuambiwa kuwa uchumi wetu umepanda lakini hali ni mbaya mno, nasema hali ni mbaya tena mno wafanyabiashara/wajasiliamali wa kada zote wanalalamikia ugumu wa hali kibiashara, wengi wetu mnajua kuwa wafanyabiashara/wajasiliamali wengi wanaendesha shuguli zao kupitia taasisi za mikopo hususani mabenki. Sasa kuna tishio la watu kufilisiwa mali zao kwani wengi wao wamekopa na wameshindwa kulipa kutokana na ugumu wa hali.
Swali ni Je! nini kifanyike ili kwanusuru watu hawa?