Hali ngumu ya Maisha kwa Wananchi: Mwalimu wa Chuo Kikuu amlilia Rais Magufuli anusuru wafanyakazi

Binafsi naelewa vema, unamaanisha. Hofu yangu, je utaeleweka au utaonekana MCHOCHEZI? Mwl. Nakushauri uwe mpole la sivyo utakuja hapa na mada ya majonzi!
 
Tatizo watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumia
Hivi professor mzima uzalendo unamshinda kabisa
Sijui unalalamika nini
Watanzania inatakiwa tufikie pahala tutangulize maslahi ya nchi kwanza
Professor unajua kabisa zaidi ya theluthi mbili ya mapato ya nchi inaenda kwenye mishahara
Hivi professor hauoni nchi ilivyopendeza?
Hauoni flyover?
Huoni Midege hewani?
Huoni mabarabara?
Huoni mashule?
Huoni vituovya afya?
Tupo Uchumi wa kati
Shule bure
Huduma za afya bure
Yaani Tanzania ya Magufuli neema tupu
Kuanzia Wafanyabiashara. Wafanyakazi hata Wakulima maisha ni bam bam isipokua wapiga dili Ndio wanaumia sana maana mianya ya wapiga dili imeziba kabisa
Lini ulitoka Mirembe 🤑?
 

Attachments

  • IMG_20210112_150518.jpg
    IMG_20210112_150518.jpg
    86.3 KB · Views: 2
  • IMG_20210101_160453.jpg
    IMG_20210101_160453.jpg
    73.6 KB · Views: 2
Sijui MATAGA huwa vichwa vyenu vimejaa maji mpk kusoma na kuelewa inawawia vigumu. Mtoa mada si anaongelea wafanyakazi wa serikali na namna mshahara haujaongezeka kwa miaka mitano na gharama za maisha zimepanda?? Unataka mtu awe mzalendo na huku ana njaa?? Umesikia waaapi???? Nyie kwakua ni majobless basi wivu unawasumbua kweli mkisikia watu mishahara haiwatoshi mnaona kila mtu mpiga dili. Mtakufa na jaka moyo acheni husda.
Sisi tunatembelea vieitee!!!
Unaijua vieite wewe???!!
 

Attachments

  • IMG_20210112_150518.jpg
    IMG_20210112_150518.jpg
    86.3 KB · Views: 2
  • IMG_20210101_160453.jpg
    IMG_20210101_160453.jpg
    73.6 KB · Views: 2
  • IMG_20210127_125033.jpg
    IMG_20210127_125033.jpg
    86 KB · Views: 2
  • Screenshot_20210114-131959.jpg
    Screenshot_20210114-131959.jpg
    52.1 KB · Views: 2
Anayeamini kupandisha mishahara ndio njia peke ya kuinua maisha ya mtumishi inabidi ajitathimini upya!
SERIKALI MSIPANDISHE MISHAHARA, IMARISHENI THAMANI YA SHILINGI YA TANZANIA! Tunatamani mtu ulienda bureau na SHILINGI za Tanzania 1000 upate angalau dola 2 za kimarekani!
Kuna vitu vya kuangalia na kujadiliwa kabla mishahara haijaongezwa:
1. Je mishahara ikiongezwa itapunguza ukata wa wafanyakazi?
2. Je mishahara ikiongezwa thamani ya shilingi itabaki hapa iliopo au itaongezeka?
3. Je mishahara ikiongezwa bei ya vitu sokoni na madukani itabaki hapa iliopo au itaongezeka?
4. Je mapato ya serikali kutokana na kodi yatahimili au itabidi serikali ikope?

Maswali ni mengi hivyo tuisaidie serikali namna ya kukabiliana na hoja hizi.
 
Muhogo kachumbari pilipili na kipande cha samaki acha kabisa. Pepsi baridi mchana jua la utosi.
 
Nimeshangaa kuona Profesa anakula mihogo si kwa sababu ya kupenda bali kwa sababu hana hela analia ukata.

Ni aibu sana nchi yenye hela za kulipa wabunge mihela yote hiyo lakini inalipa walimu wetu wa chuo kikuu peanuts
Mihogo mbona chakula kizuri tu. Acheni kudharau chakula.
 
Tulikotoka ni mbali, Kama asingekuwa kikwete na Mkapa tusingefika hapa. Walituletea jini Sasa linanyonya damu ya kila mmoja. Hadi 2025 tutakuwa tumedhoofu bin Hali. Nola huenda akatunusuru kwa namna ya pekee
Ameeeeen
 
Back
Top Bottom