The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,394
- 12,978
Yaani Watanzania wanarudi kule kule, miaka ile ya kununua kila kitu Magengeni ...............!!
bidhaa gani ya supermarket haipatikani kwa mangi mkuu.Yaani Watanzania wanarudi kule kule, miaka ile ya kununua kila kitu Magengeni ...............!!
Huo ndio UHALISIA wetu watanzania wengi halisi. Ningestuka zaidi kama ingetokea soko kama kariakoo au kawe au mabibo au mwenge popote pale kufungwa. Watanzania wengi au wachache niseme walikua kwenye "bubbled economy" ikapelekea shoppingholic ambayo haikua halisi, hizo surplus income ambazo hazikuwekewa msingi imara ndio zilikua zinapelekwa kwenye super priced commodities katika supermarkets/uppermarkets....haukua uhalisia wetu, na ndio maana nyingi zime collapse. Ile false purchasing power iliyokua iko supported na bubble economy haipo tena.Yaani Watanzania wanarudi kule kule, miaka ile ya kununua kila kitu Magengeni ...............!!
Duuh kamsemo ka zamani sana..."Fedha siyo msingi wa maendeleo bali ni matokeo ya kazi"
Huo ndio UHALISIA wetu watanzania wengi halisi. Ningestuka zaidi kama ingetokea soko kama kariakoo au kawe au mabibo au mwenge popote pale kufungwa. Watanzania wengi au wachache niseme walikua kwenye "bubbled economy" ikapelekea shoppingholic ambayo haikua halisi, hizo surplus income ambazo hazikuwekewa msingi imara ndio zilikua zinapelekwa kwenye super priced commodities katika supermarkets/uppermarkets....haukua uhalisia wetu, na ndio maana nyingi zime collapse. Ile false purchasing power iliyokua iko supported na bubble economy haipo tena.
Ni majira. That's our root, taratibu tutafika tu
Tuko kwenye lite tlack. Watz trmbeeni kifua mbeleTunaanzisha na mnada wa mamba na viboko
japo tunacheka lakini ndio Tanzania inatumbukia shimoni hivyo, rais ajaye atafanya kazi ya ku 'servise' madeni tu. Alafu fedha zenyewe zimetumika kwenye 'white elephant' projects
Na ridaraja ra kokobichi na rile ri SGR. Watalii wakifika Chattle intaneshno eapoti kuangalia mafisi wakifanya uasherati, pato la taifa litapaa mara dufu nasi tutakuwa dona kantle...Msijali stigler's gorge itamaliza haya matatizo yooooote,tutauza umeme mpk US na kua super donor country.
Mkuu Mmetumwa na MABEBERU Kuichafua Awamu ya 5,Hao walikuwa Wapiga "DIRI" tu,Uchumi wetu unakuwa kwa kasi sana.Kwa Dar imebaki branch yao ya IST.
Ni siku chache baada ya kufungwa tawi la Mbezi Beach.
Soma pia:
Kushuka kwa purchasing power, Je kundi la high income group wanaathirika? Village Supermarket ya high class wa Mbezi Beach Shamo Tower yafungwa!
Wanabodi Kwa muda mrefu, kumekuwa na kilio cha kubana kwa vyuma miongoni mwa watu wa kima cha chini na kima cha kati, lakini kwa watu wa kima cha juu, sikuwahi kuwasikia. Kuna makundi matatu ya watu kutokana na vipato Kuna High Income, (matajiri), Middle Class (Working Class ya decent jobs)...www.jamiiforums.com
Ipo inajikongoja.Aisee Sea Cliff of all the places ?kulikuwa na flow kubwa sana ya raia hapo miaka ya nyuma
Hivi Karambezi bado ipo hapo ?
Umechafukwa 😂 😂 😂Si Ungi Mkono hata muda huu kuendelea kuwapo Ikulu
Kwa Sasa naona Bora kila mwaka kuwe na uchaguzi.
Petrol imeshuka Tena Kama Bei ya zamani, 2300 kutoka 2550.
Karambezi is there to stay, ila Village Supermarket imefungwaAisee Sea Cliff of all the places ?kulikuwa na flow kubwa sana ya raia hapo miaka ya nyuma
Hivi Karambezi bado ipo hapo ?
nilidhan niko mwenyewe, now days sio sauti tu, hata picha yake siwezi kuiangaliaUna moyo sana mkuu wengine hatuwezagi kumsikiliza na hatukumbuki mara ya mwisho tulimsikiliza lini
Yaani siamini kama sea cliff nayo imefungwa aisee, kama ni kweli basi tupo kwenye wakati mgumu sana nchi kama nchi...Aisee Sea Cliff of all the places ?kulikuwa na flow kubwa sana ya raia hapo miaka ya nyuma
Hivi Karambezi bado ipo hapo ?
Kangi fijhoNimecheka sana hii inamaana kubwa sana gwa kukaja