HIMO ONE
Senior Member
- Sep 6, 2010
- 128
- 7
JINAMIZI la uchakachuaji wa matokeo ya kura za maoni pamoja na migogoro ya ardhi katika maeneo mbalimbali nchini jana liliipa CCM mtihani mgumu baada ya wananchi katika maeneo tofauti kumzomea mgombea na katika eneo jingine kumpa wakati mgumu mgombea urais wa CCM, Jakaya Kikwete