Acha kutoa majibu ya kibavicha dada,unapotoa habari ni lazima uambatanishe na picha au nyaraka ili kuipa nguvu habari yako.Lete picha za waliokufa kwa njaa au wagonjwa wanaougua shauri ya njaa,mnazua uongo mpaka mnajisahauTuma picha yako maana nina uhakika hata wewe hapo ulipo ni njaa inakusumbua.huwezi kuongea ujinga kiasi hiki wakati masuala haya ni nyeti.