Hali mbaya ya maisha wengi tunayopitia ni mapito kuelekea maendeleo ya kweli au tunapotezeana malengo na muda?

MaCCM akili zao azinaga akili kabisa, Mtupoli hawezi kuleta maendeleo yoyote.
Rais ambaye hajui KIDHUNGU anayatoa wapi hayo maendeleo?!
Ni kupotezeana muda tu.
 
Ufunge mkanda halafu mtu anajenga kwao jumba la mbuzi kwa biliioni
 
Sio kweli kwamba wengi wanalaani hali mbaya. Wengi wanafurahia huduma za afya, elimu zilivyoboreshwa. Pia wanafurahia jinsi usafiri wa abiria na mizigo ulivyorahisishwa. Upatikanaji wa maji vijijini na mijini unawapa faraja akinamama wote. Nidhamu ya utumishi wa umma imeongeza tija na kukonga nyoyo za wananchi.
Maendeleo ni hatua. Tunaendelea vizuri.
Usilete siasa. katika uhalisia wake hivyo vitu havipo. Tunahitaji uhuru Zaidi ili watu wajinga kama wewe wanaosema vitu Fulani vipo wakati havipo saa nyingine tuwanyonge
Vijiji gani vina maji? pita wilaya ya Busega ,vijiji vipo kando tu ya ziwa Victoria na havina maji, sasa ni vijiji gani hivyo vyenye maji.
Wanavijiji wengi wanatumia visima vya asili ambavyo ni hatari kwa afya lakini hawana jinsi
Acha kebehi za kisiasa
 
Endelea kuikumbatia CCM!
450908765.jpg
 
Sio kweli kwamba wengi wanalaani hali mbaya. Wengi wanafurahia huduma za afya, elimu zilivyoboreshwa. Pia wanafurahia jinsi usafiri wa abiria na mizigo ulivyorahisishwa. Upatikanaji wa maji vijijini na mijini unawapa faraja akinamama wote. Nidhamu ya utumishi wa umma imeongeza tija na kukonga nyoyo za wananchi.
Maendeleo ni hatua. Tunaendelea vizuri.
Hivi uwa mnapata nguvu wapi kusifia eti elimu imeboreshwa? huwa siwaelewi.
 
Back
Top Bottom