Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Abiria wamekuwa adimu msimu huu wa sikukuu tofauti na misimu mingine kwenye stendi ya mabasi ubungo na kuvuruga makadirio ya mapato waliokuwa wamejipangia kupata wamiliki na madereva wa mabasi hayo