Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,401
- 79,631
Ooh kumbeNazan amezamilia kuandika "Sungwe",hilo jina nimekuta Mbeya wanaita ivyo nilikua nashangaa shangaa tu kumbe ndo MNAVU
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh kumbeNazan amezamilia kuandika "Sungwe",hilo jina nimekuta Mbeya wanaita ivyo nilikua nashangaa shangaa tu kumbe ndo MNAVU
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ndo maendeleo tuliyopigania uhuru?Dah wengine wanauza dawa ya mbu zile za kuunguza,basi ndio vile huwezi kuwasaidia unabaki kuhuzunika tu.
Kuna dada yeye alikuwa anauza mataa haya ya solar ya ndani,moja anauza elfu kumi,anaonekana ametembea umbali mrefu na watu hawanunii maana miguu ina vumbi na mdomo umekauka na utando mweupe,tukakutana akaanza kunipa sifa za kila taa,nikamsikiliza wee,mwisho nikamwambia kwakweli taa ninayo nyumbani ila elfu mbili hii utakunywa maji pole na kazi,akashukuru tukaachana.
Alichoniambia ni kwamba kwa wankabidhiwa mataa huko kwa boss wao,kisha wanaambiwa wakatembeze warudishe hamsini elfu kwa kila mtu.
Namfahamu huyo mzee wa makamo hivi na kazoeleka kwenye mabasi, yani ukimtazama anatakiwa awe anakula uzee katulia anavuna matunda ya jasho la ujana lakini ndo hvyo maisha sio myshaUmenikumbusha kuna baba mmoja mtu mzima ukipanda basi toka mwanza kwenda shinyanga ukipapita misungwi kwa mbele anapanda yule baba ana ungo anauza pipi na jojo jamanii
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaio unajaribu kuwalinganisha wakae kwenye mizani moja sioYaani unashangaa jamaa anauza chumvi na anaingiza pesa lakini haumshangai Bakhresa TAJIRI namba Moja Tanzania anauza CHAPATI na MAANDAZI.
Hutu hapo tu sungwiiWenyeji wa mwanza wamesema ni vi-matunda.
Nimekurushia pichaUnazidi kunichanganya , zisijui
kiongozi yani we acha tu, kuna watanzania wanaishi kwenye umaskini uliokithiri na watawala sidhani kama wanaguswa kihivyooo. INAUMA SANAAAAAMkuu comment yako imenisisimua sana ndio tujiulize critically thinking kwamba service ya ndege bilioni 6 inamsaidia nini huyo mama ..Na mind you huyo ni mmoja Kati ya wengi.....au uki buy airplane kwa cash ..how does it touch a mother with kids selling cashewnuts for just 100 per pact
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe unamjua eee halaf anapiga story huyo na ana furaha kweliNamfahamu huyo mzee wa makamo hivi na kazoeleka kwenye mabasi, yani ukimtazama anatakiwa awe anakula uzee katulia anavuna matunda ya jasho la ujana lakini ndo hvyo maisha sio mysha
Sent using Jamii Forums mobile app
U know nothing dude! Hamna future hapo. Ni kujaribu kujiangaisha, sababu ya hali mbaya na maisha magumu.HOJA YAKO HAINA MANTIKI :
MIMI BINAFSI NAIPUUZA
HAINA UTAFITI MAKINI KWA SABABU
WAUZA CHUMVI WAPO SIKU ZOTE .
HALI NI NZURI :
NENDA BAAA MAARUFU NDIPO UTAELEWA
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana maisha mazuri na ana uhakika wa mlo kila siku.. shukran yake ndo hio kuita wengine matahira..Ndugu huwezi kuchangia kistaarabu tu bila kutukana au kuongea kashfa?? Kama unadhan uko sahihi basi na ubarikiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
ni kwel kiongozi, na sababu ya kupambana na maisha ndio maana tumejikuta tunafanya kazi kama hizoWahenga walisema mwenda bure sio sawa na mkaa bure. Heri yao wamethubutu kuliko wanaosubiria miujiza ifanyike Huku wakilia njaa.
Mkuu inabid ujue biashara yako inategeme sana idadi kubwa ya wajinga, ili ubaki mjini pinga elimu kwa watanzania wakisanuka utakufa njaaNipo ighanuda huku nauza nyimbo ,movies,
Wimbo 1 Audio -200
Video-300
Movies:Series kipande100 kamani ya kihindi yenye dakika 18-21
Kikorea,kizungu zenye dakika 40 mpaka lisaa 200
Single movie-500
Na nina mpango wa kuwa bilionea
Nawashukuru wana ighanuda wananiweka kijijini
siyo kweli bos, nina wateja/qahitaji huduma wengi from, bank workes, teachers,nurses,govt oficcials pia sifanyi kuuza movies 2 na simu pamoja na vifaa vyakeeMkuu inabid ujue biashara yako inategeme sana idadi kubwa ya wajinga, ili ubaki mjini pinga elimu kwa watanzania wakisanuka utakufa njaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi mkuu nyosha mkono juu na useme, Mungu nakushukuru kwa kila jambosiyo kweli bos, nina wateja/qahitaji huduma wengi from, bank workes, teachers,nurses,govt oficcials pia sifanyi kuuza movies 2 na simu pamoja na vifaa vyakee
ulijua moviea na nyimbo tu kaka hapana,,ila kupitia compputer tangu tarehe ya kwanza ya mwezi huu mpaka sasa nina 140 thousand , huoni faida hapo , kwa mwezi je??
amen mkuuBasi mkuu nyosha mkono juu na useme, Mungu nakushukuru kwa kila jambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani unaweza tamani nunua ungo mzima akapumzke nyumbaniKumbe unamjua eee halaf anapiga story huyo na ana furaha kweli
Sent from my SM-T230NU using JamiiForums mobile app