Chagga King
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 1,823
- 1,043
...haha, snilitaka kushangaa, lakini nimekuja kunote kuwa inawezekana ame-edit coz wengi walikuwa na mtazamo mmojaMtoa mada ame edit. Mwanzo alikosea.
...haha, snilitaka kushangaa, lakini nimekuja kunote kuwa inawezekana ame-edit coz wengi walikuwa na mtazamo mmojaMtoa mada ame edit. Mwanzo alikosea.
Senseless replyYaani mfanyabiashara ashindwe kulipa dola 25 kwa mwezi?
Umeelewa kweli? Hiyo ni bei ya sqm 1, sasa piga hesabu chumba kidogo kitakuwa na sqm ngapi halafu fanya mahesabuYaani mfanyabiashara ashindwe kulipa dola 25 kwa mwezi?
Mkuu kasema kwa mita moja ya mraba,ina maana hapo ukiwa na ukubwa wa chumba kama bafu let say 6 meter square utalipia 6x25x2200 ambayo ni kama 330,000 sasa ukiwa na sehemu kubwa game utalipia sh ngapi? magorofa mengi ya dar mfano pale ushirika tower wanalipia dollar 14 per square meterMjomba , hivi unajua maana ya ukata ? Usiombe , ni noma !
dola 25 kwa mita mraba sasa integemea ukubwa wa duka lako ndio kodi jamani.DOLA 2O!? Maduka yamepangishwa kwa wauza vitumbua?
Price is per square metermkuu hizo bei watakuwa wamenukuu vibaya au?? jengo kama lile wapangishe kwa dolla 25 kwa mwezi amabayo sawa na Tshs 50,000 basi kama ni kweli nami ngoja niindelee kuongeza idadi ya vibubu nitunze hela zangu maana tunakoeleka kunaweza kuwa zaidi ya zimbabwe
wengi hawasomi kitu wakaelewa af ujuaji mwingi, stan
Safi kabisa naungana nawe yaani ukisoma comment nyingine unajiuliza hv hyu kasoma hii mada na kuielewa au 20 to 25 usd kwa mita ss km duka lako lina mita 50 au 30 wanadhani utalipa hyo $20 au $25 nooo inabidi waielewe vzuriInasikitisha kuwa wachangiaji wengi kwenye mada hii wamekurupuka bila kusoma na kuielewa vyema. Wengi wamebaki kujadili wakidhani kuwa mtoa mada kakosea kumbe wao ndio hawakusoma vyema.
Mtoa mada Erithrocyte katika para 2, ameeleza bayana kuwa kodi inayotozwa ni kati ya dola 20 hadi 25 kwa sq meter kwa mwezi, sasa ubishi unatoka wapi? Rejeeni mwanzo wa mada mtagundua kasoro za usomaji mbaya au kudaka mada katikati na kuijadili bila kufahamu chimbuko lake.
Ila kwa kuchangia kodi hiyo kwa hali ya sasa ni kubwa.
Jiongezee mkuu,hiyo ni kwa sq metre moja,sasa kama anamiliki sq metre 30 na kuendelea unafkiri ni bei gani?Yaani mfanyabiashara ashindwe kulipa dola 25 kwa mwezi?
Hivi kwa mini hamsomi post mkaelewa kabla ya kukurupuka kujibu? Imetajwa mita moja ya mraba kwa beimkuu hizo bei watakuwa wamenukuu vibaya au?? jengo kama lile wapangishe kwa dolla 25 kwa mwezi amabayo sawa na Tshs 50,000 basi kama ni kweli nami ngoja niindelee kuongeza idadi ya vibubu nitunze hela zangu maana tunakoeleka kunaweza kuwa zaidi ya zimbabwe
someni vizuri, au hamjui biashara ya upangishaji ikoje, amesema dola 25 kwa mita za mraba au square meter, unaangalia chumba kina mita mraba ngapi ndo unazidisha kwa dola 25.mkuu hizo bei watakuwa wamenukuu vibaya au?? jengo kama lile wapangishe kwa dolla 25 kwa mwezi amabayo sawa na Tshs 50,000 basi kama ni kweli nami ngoja niindelee kuongeza idadi ya vibubu nitunze hela zangu maana tunakoeleka kunaweza kuwa zaidi ya zimbabwe
ujazo hehsomeni vizuri, au hamjui biashara ya upangishaji ikoje, amesema dola 25 kwa mita za mraba au square meter, unaangalia chumba kina ujazo wa mita mraba ngapi ndo unazidisha kwa dola 25.
Acha kuanika ujinga wako, hiyo ni bei ya square metre!!Yaani mfanyabiashara ashindwe kulipa dola 25 kwa mwezi?
kujibu kwa pupa shida sana, kama mtu hujui uliza, kama kidogo shule haikukuchenga nenda room kwako kapime kina ujazo wa mita mraba kiasi gani kisha zidisha kwa kwa hiyo dola 25 au 20. alafu uje hapa.Dola ngapi 20 hadi 25?Acha utani bana haiwezi kuwa hivyo.....!
hao jamaa wakipata watu smart wa real estate they will make a lot hata kama unasema ni kijijini
ni kweli upeo wa mtanzania upo chini sana. imeandikwa kwamba bei ni dola 20-25 kwa square meter, lakini wabongo wanashindwa kuelewa hilo wanakimbilia kushusha utumboYaani mfanyabiashara ashindwe kulipa dola 25 kwa mwezi?