Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 30,875
- 30,595
We are adding more jobless in the streets,,,,,,!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We are adding more jobless in the streets,,,,,,!!!
Umewai kufanya Biashara au kazi kwenye shirika binafsi ?Lakini how does a big company with profile fall to have a budget for a year ?
Kule kuna wafanyakazi mpaka matanboi,email wapi na wapi?Hivi hawana email au namna nyingine za kuwasiliana hadi kwa matangazo ya jinsi hii? Haya mambo yako kwenye Halmashauri aiseee
Wazee wa matetemeko mnasubiri tu majanga mtangazee..
Anavizia uteuzi,hata body Language ya Sam Mahela inaonyesha kuna kitu hakiko sawa.Sam mahela ataendelea kushona zile suti zake pale mwenge?
Jamaa anaongeaga kwa mbwembwe kumbe mfukoni hana chapaaa!!!
Kwani hujui wachongaji? Ni wale wanyama tukiwaitaga huku unapigwa ban. Wao hata wakishindwa kunya watamlaumu JPMsidhani kama hii haijatengezwa. maana swala hilo si la kubandika matangazo.
mimi hata sielewi mwenyekiti! hivi mihuri husaidia nini katika fact mkuu?mbina barua haina muhuri