Hali mbaya: Makampuni ya simu yaanza kupunguza wafanyakazi. ITV yasogeza mishahara mbele

Nijiongeze kutoka wapi? Kuendelea kuwatesa wananchi kwa kisingizio kwamba kulikuwa na wapiga haitasaidia .ni mwaka sasa unakatika hao wapiga dili mmeshindwa kuwadhibiti? Njia ya muongo ni fupi sana.endeleeni
Naona hata hujui una comment nini.Soma mada husika kama ni kweli taarifa ni rasmi lakini sio unalau Serikali.

Hakuna anayemtesa mwanainchi ndani ya nchi ila unarudishwa kuishi maisha yako halisi na siyo ya kuigiza wakati hali yako haifanani na uhalisia.

Sasa ndiyo kila mmoja aishi kama alivyotakiwa kuishi na pesa IPO ukiitafuta utapata.hakuna mteremko
 
Serikali ndo inakusanya. Mapato na kutumia. Mianya imezibwa kupiga Simu nyumba ndogo Mara 4 kwa siku hakuna. Sasa ni Mara 1 kwa siku 3. Tutakaa tu Magu piga pasi nchi hadi nyumba kubwa zipendwe sana.
 
Nakumbuka The Great Depression ya 1929-1833. wachumi wanayo tafsiri ya hali hii
 
leo vodacom kesh kampuni zengne zitafata.. Mungu inusuru hi Nchi ,upepo hu w mabdiliko usiumiz sn raia.
 
Poleni sana kwa mliopunguzwa!
Muombeni Mungu zaidi huenda kuna kubwa zaidi kawaaandalia kwani maandiko yanasema mlango mmoja wa neema ukifungwa hufunguliwa milango sabini ya neema.
 
Back
Top Bottom