Una uhakika na unachokisema?Makampuni ya simu yalizoea kukwepa kodi,miamala na miito ya simu ilikuwa hailipiwi vat wala income tax.
Sasa imefungwa machine ukiingiza tu vocha serikali inapoata vat yake hapo hapo,na ukipiga simu ukikata tu mzigo unaingia serikalini.Hiyo pia haitoshi,wamejisajili soko la hisa,haiwezekani tena kupika hesabu.
Kwa Magufuli kila kitu kinawezekana
Ndio maana wewe bado ni masikini kwasababu hujui Biashara ni Biashara na wewe ni wewe. Mengi na ITV ni vitu viwili tofauti
Ukiwa na biashara hutakiwi kutoa hela zako mfukoni uilipie wafanyakaziIla tukiwa tunanasibishwa kuhusu yeye tunaambiwa utajiri wake ni pamoja na umiriki wa IPP media(mkurugenzi)....kama Itv wameshindwa jiendesha tungeambiwa kuna urasimu sio bilinea kukosa hela...Au ni mrimbwende wake keshaanza yake?
Una uhakika na unachokisema?
Ukiwa na biashara hutakiwi kutoa hela zako mfukoni uilipie wafanyakazi
Huwezi kuelewa mkulimaImani za walimu wa kijasiliamali wa kibongo....hustoe kwa nn?
Huwezi kuelewa mkulima
Inamaana Mengi akifariki na ITV itakufa kama atafanya hivyo
Wewe utakuwa mswahili maana ndio wakifa kila kitu kimeisha. Biashara inatakiwa iendelee hata mwanzilishi akifa ndio maana hatakiwi kutoa hela yake mfukoni,Kama hatoi mishahara yuko mzima akifa nani atatoa?
Wewe utakuwa mswahili maana ndio wakifa kila kitu kimeisha. Biashara inatakiwa iendelee hata mwanzilishi akifa ndio maana hatakiwi kutoa hela yake mfukoni,
Ila tukiwa tunanasibishwa kuhusu yeye tunaambiwa utajiri wake ni pamoja na umiriki wa IPP media(mkurugenzi)....kama Itv wameshindwa jiendesha tungeambiwa kuna urasimu sio bilinea kukosa hela...Au ni mrimbwende wake keshaanza yake?