Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
-Mimi sioni tataizo kama mnaaminiana.Hivi kama mkeo anaweza kufanywa asusa kwa kuigiza tu,je ukifungwa jela ? au akienda kazini je?hakuna mazingira yanayoshabihiana na hayo yanayoweza kumfanya mkeo ku-cheat?