mi najifanya sijui kitu, nambusu mke wangu. thena natoa moto naanza kuusafisha taratibu huku nikimwambia my wife wangu kuwa mbona hunikumbushagi kusafisha hii bastola? then naiload kabisa...huku napiga mluzi tanzania, tanzaniaaa nakupenda kwa moyo woteee!!!!
mi najifanya sijui kitu, nambusu mke wangu. thena natoa moto naanza kuusafisha taratibu huku nikimwambia my wife wangu kuwa mbona hunikumbushagi kusafisha hii bastola? then naiload kabisa...huku napiga mluzi tanzania, tanzaniaaa nakupenda kwa moyo woteee!!!!
I like this..Unajifanya kama vile umedata. Unachukua jembe then unachimba hivyo vidole vilivyotokeza chini ya pazia unadai kuwa ni uyoga umeota chumbani kimakosa..Then unasikilizia timbwilitimbwili lake!!