Hali kama hii ikikutokea wewe chumbani kwako au 'guest house' utafanyaje?

Pape

JF-Expert Member
Dec 11, 2008
5,488
79
i1421_676926360447511366632511385458041659673n.jpg

 
I like this..Unajifanya kama vile umedata. Unachukua jembe then unachimba hivyo vidole vilivyotokeza chini ya pazia unadai kuwa ni uyoga umeota chumbani kimakosa..Then unasikilizia timbwilitimbwili lake!!
 
mi najifanya sijui kitu, nambusu mke wangu. thena natoa moto naanza kuusafisha taratibu huku nikimwambia my wife wangu kuwa mbona hunikumbushagi kusafisha hii bastola? then naiload kabisa...huku napiga mluzi tanzania, tanzaniaaa nakupenda kwa moyo woteee!!!!
 
mi najifanya sijui kitu, nambusu mke wangu. thena natoa moto naanza kuusafisha taratibu huku nikimwambia my wife wangu kuwa mbona hunikumbushagi kusafisha hii bastola? then naiload kabisa...huku napiga mluzi tanzania, tanzaniaaa nakupenda kwa moyo woteee!!!!


ahahahhaahha mmmmm umenifurahisha kweli
 
mi najifanya sijui kitu, nambusu mke wangu. thena natoa moto naanza kuusafisha taratibu huku nikimwambia my wife wangu kuwa mbona hunikumbushagi kusafisha hii bastola? then naiload kabisa...huku napiga mluzi tanzania, tanzaniaaa nakupenda kwa moyo woteee!!!!

mmhh, I like this
 
I like this..Unajifanya kama vile umedata. Unachukua jembe then unachimba hivyo vidole vilivyotokeza chini ya pazia unadai kuwa ni uyoga umeota chumbani kimakosa..Then unasikilizia timbwilitimbwili lake!!

mwehhh......
 
Inwezekana ulimchelesha hivyo inabidi uchukue siraha harisi inayotakiwakisha uanze vita, kumbuka bhita ni bhia mura.
 
Back
Top Bottom