fredj2
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 235
- 93
Nimeanzisha biashara nimepata hasara kubwa sana.Sasa nipo kwenye mawazo mazito ya kutafuta kibarua chochote.niweze kuendesha maisha kwa yeyote anaeweza kunipatia au kunipa njia ya kupata kibarua ntamshukuru sana.
elimu kidato cha nne.
Umri wangu ni miaka 27.
Naishi Dar es Salaam.
Mungu awabariki kwa watakaoguswa na hili.
no. zangu ni 0714643241
au ni Pm
ahsanteni.
elimu kidato cha nne.
Umri wangu ni miaka 27.
Naishi Dar es Salaam.
Mungu awabariki kwa watakaoguswa na hili.
no. zangu ni 0714643241
au ni Pm
ahsanteni.