Bill Lugano
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,186
- 6,398
Hii ni report ya kutoka tume ya haki za binadamu. Anasema dr kijo bisimba. Watu wa jinsia ya kiume mliopo dar na pemba.achaneni na kutafuta unga wa kongo na kudhani uanaume ni kuhonga tu. Mnapigwaje na wake zenu?
Msikilize mama kijo bisimba akisema ripoti ya tume ya haki za binadamu inasema wanaume wa dar na pemba wanabamandwa ( wanapigwa) na wake zao.
Msikilize mama kijo bisimba akisema ripoti ya tume ya haki za binadamu inasema wanaume wa dar na pemba wanabamandwa ( wanapigwa) na wake zao.