Hali inaogopesha kidogo kwa maisha ya wananchi Zimbambwe

Bila miundombinu kuna maendeleo?

Wananchi watawezaje kujikwamua kutoka kwenye hali zao kama miundombinu ni changamoto?

Zamani nakumbuka safari ya kwenda Shinyanga au Mwanza ilikuwa inachukua siku karibu tatu kwa treni ya TRC.

Kwa basi ndo usiseme kabisa. Hata kujua ilikuwa inachukua muda gani ilikuwa haijulikani maana changamoto zilikuwa tele.

Pale Sekenke kupita ilikuwa ni mbinde. Kama ni msimu wa mvua ndo sahau kabisa. Barabara zilikuwa za vumbi na tope tu.

Siku hizi mambo yamebadilika. Dar-Mwanza au Mwanza-Dar kwa basi ni safari za masaa tu!

Kujenga spitali si maendeleo? Spitali bila jengo inawezekana kweli?

Kujenga mashule si maendeleo? Madarasa si majengo?

Madarasa kuwa na umeme na madawati si maendeleo? Madawati siyo vitu?

Bi mdogo wangu [Kisura] shuleni kwao wanafundishwa hadi kutumia MS Applications. Mambo sijui ya PowerPoint, Excel spreadsheets, Word, nk., anayajua utadhani alizaliwa nayo. Wakati mwingine hata mimi ananionyesha vi tricks ambavyo sivijui. Jana nilikuwa nahangaika na ku-unfreeze pane, chap chap akanionyesha nilipokosea.

School district yao wanapewa iPads. Homeworks zao zinakuwa uploaded humo na siku mtoto asipoenda shule kwa ajili ya kuumwa au sababu yoyote ile, anafuatilia wenzake walichosoma siku hiyo na anakuwa hayuko nyuma akirudi shule.

Sasa iPad siyo kitu?

Sasa hivi kwenda Kigamboni ni rahisi. Unaenda kwa barabara, unavuka daraja, tayari ushafika. Zamani ilikuwa hadi upande pantoni!

Daraja siyo barabara? Barabara siyo muundombinu? Barabara bora si za muhimu katika ya usafirishaji na uchukuzi? Biashara zinaweza kwenda vizuri bila uchukuzi?

Bodaboda, bajaji, na simu janja ni vitu, siyo? Haya, siku hizi bongo kuna door to door delivery services. Na vitendea kazi ni hivyo vitu.

Maofisini watu wanapelekewa msosi. Unapiga simu kwa mchoma mishkaki, mchoma mishkaki anakufungia anampa kijana wa bodaboda anakuletea. Hapo mawasiliano yote yanafanyika kwa simu. Malipo nayo pia. Hatuna Grubhub, Doordash, wala UberEats lakini concept ni ile ile tu....quick food delivery.

Hayo siyo maendeleo?

Naelewa alichokuwa anasema Nyerere, ila, nadhani ama hakuelezea vizuri au labda nyakati sasa zimebadilika na alichokisema kipindi hicho hakipo applicable kwa hali ya sasa.

Hapa penyewe JF watu tupo kila kona ya dunia hii lakini kupitia vitu [simu janja, kompyuta, tablet] tunakutana na kujadiliana na kubadilishana mawazo na kuelimishana na kusaidiana.

Hayo siyo maendeleo? Yote hayo yangewezekana bila vitu?

Kwa maisha ya sasa, maendeleo ni watu pamoja na vitu.

Vitu ni vya watu. Vitu na watu vinafungamana.
Hoja yako ina mantiki sana bwana Ngabu, isipokuwa nadhani unapotofautiana na watu wengi nadhani ni swali je, hivyo vitu vinagusa watu wengi kiasi gani. Ukizungumzia ujenzi wa darasa na zahanati hivi ni vitu vinagusa maisha ya watu wote matajiri na masikini. Ukiongelea ujenzi wa barabara za lami na miundombinu ya umeme na njia ya treni unagusa maisha ya watu wote. Ila ukiongelea ndege, sioni kama unagusa maisha ya watu wengi zaidi ya wachache tu!

Mimi naunga mkono miradi mingi sana ya Serikali ya awamu ya tano, kitu nisichounga mkono ni Mradi wa ndege tu! Mradi huu siuungi mkono kwasababu zifuatazo
1. Usafiri wa ndege kabla ya ATCL haukuwa na shida yoyote, hivyo hapakuwa na haja ya serikali kuwekeza kwenye huduma hiyo kwasababu huduma hiyo ilikuwepo;
2. Ushindani katika biashara ya anga ni mkubwa sana na serikali haijawahi kuwa efficient kwenye kusimamia biashara. Sitegemei kama shirika hili litazalisha faida na kurudisha gharama za uwekezaji;
3. Shirika limefufuliwa kwa nguvu na hoja za mhe. Rais, sidhani hata kama kuna sustainability plan after Magufuli;
4: Uwekezaji wa kununua ndege ni gharama sana na hauhudumii sehemu kubwa ya jamii. Fedha tulizowekeza kununua ndege kama tungeboresha hospitali zetu za kanda za rufaa, na hospitali za mikoa nadhani tungegusa maisha ya watu wengi zaidi. Aidha, suala la zahanati vijijini bado ni changamoto, bado kuna vijiji havina zahanati, kama tungewekeza huko tungegusa maisha ya watu wengi.

Hizo ndio sababu za msingi kabisa kuwa suala la uwekezaji kwenye ndege bado halijaniingia moyoni. Miradi mingine yote inaogusa maendeleo ya wananchi, Magufuli aendelee kuwekeza hata kama haionekani faida yake leo lkn kesho itaonekana.

Lkna yote kwa yote serikali inavowekeza lazima iwe makini hata kama miradi hiyo itakuwa na manufaa kwa wananchi wengi ipo haja ya kuangalia mradi huo utakuwa na manufaa gani kiuchumi kwa wananchi kwa wakati uliopo. Lazima mradi uangaliwe utaongeza kiasi gani cha fedha kwenye mzunguko. Mradi wa wa stigler, flyovers na standard gauge yote inafaida kwa wananchi wengi hapo baadae baada ya kukamilika lkn kwa sehemu kubwa kwasasa hivi inatoa fedha nje kuliko kuongeza mzunguko wa fedha kwenye uchumi wa nchi. Kwa mantiki hiyo, miradi hii kwa wakati uliopo itafifisha sana mzunguko wa fedha kwenye uchumi wa nchi, ilitakiwa kujengwa kwa awamu na sio kwa mkupuo kama tulivifanya.
 
No matter how you look at it ... you will still fall into my core issue here.. the well-being of our society... besides different set of ideas are tolerated..free minds makes great ideas..Kudos for your remarks

Looks like you have been brainwashed I don’t know by whom, honestly Mugabe was not after the welfare of his people. I guess he didn’t know what he was doing after turning senile. He was a looter together with his bitch -Grace
 
Hello Everyone..

Nilipata bahati ya kutembelea Zimbabwe baada ya kuisikia katika mijadara mingi ya kimataifa (mostly Kwa mabaya).

First impression ilikuwa tofauti na fikira zangu za siku zote. Zimbabwe imejengwa vizuri Sana, madege makubwa, airport ya kisasa na miundombinu ya kutamani.

Nikaingia kitaa nikaanza ku-mingle na vagari(citizens), kwakweli hali ni mbaya mno. Wanaishi kama watoto yatima waliohachiwa hekalu linalodaiwa land rent, electric and water bills na hati ya jumba hilo iko benki kwa mkopo wa mabilioni ya fedha

Hakuna ajira na hawana hata senti ya kununulia mahitaji ya lazima(the experience is unbearable).

Katika kusoma historia na kumfuatilia the late R.Mugabe unaweza kuona kabisa jinsi alivyokuwa anapenda watu wake ndio wafaidike na matunda ya Zimbabwe the gesture was and is still NOBLE but the approach was and still DISASTROUS.

Aliijenga Zim ikawa kama Ulaya kwa every cent kadri alivyoipata ili kuwaaminisha wazim kuwa wanajiweza kwa kila kitu but akasahau kuwa empower wazim ili mambo yote niliyoyataja hapo juu yawe sustainable as the result mambo yakaanza kustuck wazim hawana incomes za uhakika, production iko chini sana,migodi imeanza kuwa caves, shelves hazina chakula, airports ziko empty, sokoni hakuna chakula, na highways ziko traffic free.

Zims ni watu wakarimu Sana na wako very hopeful lakini wana simanzi nyingi Sana mioyoni mwao.

Rai yangu kwa kila mmoja wetu kuanzia family level mpaka huko juu chonde chonde tufanye mambo yatakayoleta tija katika jamii zetu, usikimbilie kujenga mahekalu na kuendesha mavogue na ukasahau kuiwezesha (empower)familia/jamii.

I just hope Zims will turn it around but the rest of us should be aware Zim did not just wake up and find itself in a mess.

It was a process that took many years to perfect. It is always nice and kind to plan for your grandchildren but please show that you also care to your children(they matter now) so that they can happily make your dream a reality. PEACE AND LOVE.

Note: We are a group of people who have different ideas and minds, let's accommodate each other when it comes to discussing issues.

Feel free to peacefully advise differently.
Mkuu wewe ni wa ile JF ya zamani. Maana hizi hekima humu zimeshatoweka kitambo sana. Subiri watu watu wakukosoe kwa sababu sehemu Fulani hujaweka comma au nukta.
 
Well.. ahsante Kwa remark.. kwahiyo wataka kuniambia zile airbus za Zimbabwe zilikuwepo toka enzi za wakoloni?!.. either way,my point here is not to argue on who did what right to deserve credit, my issue here is the well-being of the societies..it sounds even worse to me kama vitu vyote alivikuta na anafanya aliyoyafanya.. please read my thread tena..utanielewa..but thanks for the comment.
Mugabe amerithi mali nyingi kutoka kwa Ian Smith. Mugabe asingeweza kununua airbuses kwa sababu aliwekewa vikwazo vya kibiashara. Kama uliona Airbus basi itakuwa ya kukodi kama ambavyo Air Tanzania ilivyowahi kukodisha Boeing.
 
Hoja yako ina mantiki sana bwana Ngabu, isipokuwa nadhani unapotofautiana na watu wengi nadhani ni swali je, hivyo vitu vinagusa watu wengi kiasi gani. Ukizungumzia ujenzi wa darasa na zahanati hivi ni vitu vinagusa maisha ya watu wote matajiri na masikini. Ukiongelea ujenzi wa barabara za lami na miundombinu ya umeme na njia ya treni unagusa maisha ya watu wote. Ila ukiongelea ndege, sioni kama unagusa maisha ya watu wengi zaidi ya wachache tu!

Mimi naunga mkono miradi mingi sana ya Serikali ya awamu ya tano, kitu nisichounga mkono ni Mradi wa ndege tu! Mradi huu siuungi mkono kwasababu zifuatazo
1. Usafiri wa ndege kabla ya ATCL haukuwa na shida yoyote, hivyo hapakuwa na haja ya serikali kuwekeza kwenye huduma hiyo kwasababu huduma hiyo ilikuwepo;
2. Ushindani katika biashara ya anga ni mkubwa sana na serikali haijawahi kuwa efficient kwenye kusimamia biashara. Sitegemei kama shirika hili litazalisha faida na kurudisha gharama za uwekezaji;
3. Shirika limefufuliwa kwa nguvu na hoja za mhe. Rais, sidhani hata kama kuna sustainability plan after Magufuli;
4: Uwekezaji wa kununua ndege ni gharama sana na hauhudumii sehemu kubwa ya jamii. Fedha tulizowekeza kununua ndege kama tungeboresha hospitali zetu za kanda za rufaa, na hospitali za mikoa nadhani tungegusa maisha ya watu wengi zaidi. Aidha, suala la zahanati vijijini bado ni changamoto, bado kuna vijiji havina zahanati, kama tungewekeza huko tungegusa maisha ya watu wengi.

Hizo ndio sababu za msingi kabisa kuwa suala la uwekezaji kwenye ndege bado halijaniingia moyoni. Miradi mingine yote inaogusa maendeleo ya wananchi, Magufuli aendelee kuwekeza hata kama haionekani faida yake leo lkn kesho itaonekana.

Lkna yote kwa yote serikali inavowekeza lazima iwe makini hata kama miradi hiyo itakuwa na manufaa kwa wananchi wengi ipo haja ya kuangalia mradi huo utakuwa na manufaa gani kiuchumi kwa wananchi kwa wakati uliopo
we unafikili tumbili atajibu hili yuko kwenye kukwea miti sasa hivi
 
Eti LoL hizo kauli ni za kishoga zaidi anyway jikite kwenye hoja dogo sio unaleta taarabu zako
LOL wewe jinsia gani? Umeolewa na wazungu? Sorry kama vipi lakini.

Ningepata mwanamke mwenye heshima kwa mumewe kama wewe ningejiita mwenye bahati. Lol
 
Hello Everyone..

Nilipata bahati ya kutembelea Zimbabwe baada ya kuisikia katika mijadara mingi ya kimataifa (mostly Kwa mabaya).

First impression ilikuwa tofauti na fikira zangu za siku zote. Zimbabwe imejengwa vizuri Sana, madege makubwa, airport ya kisasa na miundombinu ya kutamani.

Nikaingia kitaa nikaanza ku-mingle na vagari(citizens), kwakweli hali ni mbaya mno. Wanaishi kama watoto yatima waliohachiwa hekalu linalodaiwa land rent, electric and water bills na hati ya jumba hilo iko benki kwa mkopo wa mabilioni ya fedha

Hakuna ajira na hawana hata senti ya kununulia mahitaji ya lazima(the experience is unbearable).

Katika kusoma historia na kumfuatilia the late R.Mugabe unaweza kuona kabisa jinsi alivyokuwa anapenda watu wake ndio wafaidike na matunda ya Zimbabwe the gesture was and is still NOBLE but the approach was and still DISASTROUS.

Aliijenga Zim ikawa kama Ulaya kwa every cent kadri alivyoipata ili kuwaaminisha wazim kuwa wanajiweza kwa kila kitu but akasahau kuwa empower wazim ili mambo yote niliyoyataja hapo juu yawe sustainable as the result mambo yakaanza kustuck wazim hawana incomes za uhakika, production iko chini sana,migodi imeanza kuwa caves, shelves hazina chakula, airports ziko empty, sokoni hakuna chakula, na highways ziko traffic free.

Zims ni watu wakarimu Sana na wako very hopeful lakini wana simanzi nyingi Sana mioyoni mwao.

Rai yangu kwa kila mmoja wetu kuanzia family level mpaka huko juu chonde chonde tufanye mambo yatakayoleta tija katika jamii zetu, usikimbilie kujenga mahekalu na kuendesha mavogue na ukasahau kuiwezesha (empower)familia/jamii.

I just hope Zims will turn it around but the rest of us should be aware Zim did not just wake up and find itself in a mess.

It was a process that took many years to perfect. It is always nice and kind to plan for your grandchildren but please show that you also care to your children(they matter now) so that they can happily make your dream a reality. PEACE AND LOVE.

Note: We are a group of people who have different ideas and minds, let's accommodate each other when it comes to discussing issues.

Feel free to peacefully advise differently.
Well said! post yako iko vizuri but Weka na picha basi kama ushahid wa unachozungumzia mana umesema umefika Zimbabwe halafu kimya,,
 
Werevu tu ndio wanaokuwa marais, wakisha shika nchi wanafanya wanayoyafanya, wewe utabaki kulialia kama kasuku na siku zako zikiisha utalaumu hadi tone la damu likutoke na utakuwa unategemea huruma yao.
Kama werevu tu wanakuwa marais, mbona linchi linanuka umasikini?

Jana kuna mtu kasema Dar mvua zimenyesha watu wanatapisha vyoo, mji unanuka mavi.

Huo ndio mji mkubwa wenye 10% ya watu.

Huko vijijini nako hivyo hivyo. Nilipita Muhoro, mji unanuka mavi.

Sasa hapo kuna uongozi wa werevu?
 
You are more than CORRECT
Kila mtu anajua wazungu wana vi interest kwenye hizi less developed country lakini kitendo cha kuwananga majukwaani kwa kiswahili kuwaita majina mabaya kama vile MABEBERU huku na wao wapo hapo hapo kwenye uzinduzi wa mradi ambao wao wamedonate fedha ni kama kumchokoza mtu ambae hataki ugomvi ,jua ipo siku atachoka na hizo choko choko zako na atakutolea uvivu

Tunaweza kwenda nao ki namna ambavyo wasitambue kuwa sisi tunawajua ni wabaya kwetu kwa sababu ni dhahiri kabisa tunawaitaji kuliko hata wanavyotuhitaji sisi.

Wazungu tuwaone beberu machoni ila kuwatamkia wazi wazi ni kama kuwatunishia misuli huku msuli wetu bado mdogo.
 
Kama werevu tu wanakuwa marais, mbona linchi linanuka umasikini?

Jana kuna mtu kasema Dar mvua zimenyesha watu wanatapisha vyoo, mji unanuka mavi.

Huo ndio mji mkubwa wenye 10% ya watu.

Huko vijijini nako hivyo hivyo. Nilipita Muhoro, mji unanuka mavi.

Sasa hapo kuna uongozi wa werevu?

Ndio tatizo hilo shida zako binafsi unataka kuwa shida za kitaifa. You are just a loafer and you will die a loafer.
 
Hakuna taifa lolote lilishirikiana na mabeberu likawa fukara check Dubai,qatar,hongkong,south Korea,taiwan,Malaysia,nk.Kwann madikteta uwachukia mabeberu sababu wanaogopa demokrasia
Naam! Nami naamini ktk ushirikiani hasa kama huna uwezo wa kushindana naye, i belive you mentioned very valid examples.
 
Hello Everyone..

Nilipata bahati ya kutembelea Zimbabwe baada ya kuisikia katika mijadara mingi ya kimataifa (mostly Kwa mabaya).

First impression ilikuwa tofauti na fikira zangu za siku zote. Zimbabwe imejengwa vizuri Sana, madege makubwa, airport ya kisasa na miundombinu ya kutamani.

Nikaingia kitaa nikaanza ku-mingle na vagari(citizens), kwakweli hali ni mbaya mno. Wanaishi kama watoto yatima waliohachiwa hekalu linalodaiwa land rent, electric and water bills na hati ya jumba hilo iko benki kwa mkopo wa mabilioni ya fedha

Hakuna ajira na hawana hata senti ya kununulia mahitaji ya lazima(the experience is unbearable).

Katika kusoma historia na kumfuatilia the late R.Mugabe unaweza kuona kabisa jinsi alivyokuwa anapenda watu wake ndio wafaidike na matunda ya Zimbabwe the gesture was and is still NOBLE but the approach was and still DISASTROUS.

Aliijenga Zim ikawa kama Ulaya kwa every cent kadri alivyoipata ili kuwaaminisha wazim kuwa wanajiweza kwa kila kitu but akasahau kuwa empower wazim ili mambo yote niliyoyataja hapo juu yawe sustainable as the result mambo yakaanza kustuck wazim hawana incomes za uhakika, production iko chini sana,migodi imeanza kuwa caves, shelves hazina chakula, airports ziko empty, sokoni hakuna chakula, na highways ziko traffic free.

Zims ni watu wakarimu Sana na wako very hopeful lakini wana simanzi nyingi Sana mioyoni mwao.

Rai yangu kwa kila mmoja wetu kuanzia family level mpaka huko juu chonde chonde tufanye mambo yatakayoleta tija katika jamii zetu, usikimbilie kujenga mahekalu na kuendesha mavogue na ukasahau kuiwezesha (empower)familia/jamii.

I just hope Zims will turn it around but the rest of us should be aware Zim did not just wake up and find itself in a mess.

It was a process that took many years to perfect. It is always nice and kind to plan for your grandchildren but please show that you also care to your children(they matter now) so that they can happily make your dream a reality. PEACE AND LOVE.

Note: We are a group of people who have different ideas and minds, let's accommodate each other when it comes to discussing issues.

Feel free to peacefully advise differently.
Andika tu kwa kiingereza ndugu mkoloni mweusi. Mie nimeishia hapo kwenye kiswahili
 
Naam! Nami naamini ktk ushirikiani hasa kama huna uwezo wa kushindana naye, i belive you mentioned very valid examples.
Baada ya uhuru tungeendelea na mfumo Wa uchumi Wa kikoloni yaani tungeomba winiwini situation tusingewafukuza tungeshirikiana nao tungekuwa mbali sana kosa kubwa lililofukarisha Africa ni kuukumbatia mfumo wa ujamaa na udikteta baada ya uhuru ndivo vilivoharibu uchumi Wa africa
 
Ndio tatizo hilo shida zako binafsi unataka kuwa shida za kitaifa. You are just a loafer and you will die a loafer.
Watu kutapisha vyoo Dar ni shida zangu binafsi?

Kivipi?

Mimi nina miaka sijakanyaga Dar.

Hata likizo siku hizi naenda visiwa vya Turks and Caicos.

Watu kutapisha vyoo inakuwaje shida yangu binafsi?
 
Hiyo story yako ningeomba aisome jamaa fulani kwa sababu uelekeo wetu ndo huko.Kama unawachukia mabeberu fanya hiyo vita kivyako usitushirikishe wala kuturithisha hiyo vita wananchi kwa sababu mambo yakiharibika wataoteseka ni sisi wananchi huku wewe unakula milo yote mitatu. Tuache kutunishiana misuli live live na mataifa makubwa hatuna mbavu hizo tusijidanganye.

kuongoza bongo kazi kubwa sana inahitajika: so far this is the worse comment since jamii forum started
 
Ukombozi Wa fikra utakuja siku waafrika watakapoamka
Mtu mwenye njaa hawezi kufikiri vyema na hata kama fikra yake ni njema yeye mwenyewe atakuwa wa mwisho kuiamini fikra yake. Sasa basi serikali zetu za kiafrika ziwekeze sana kwenye afya ya mwili na akili,elimu bora,chakula na mahitaji mengine ambayo ni basic kwanza then mengine yanajileta tu.
 
Watawala wote Wa kiafrika ni sawa wanawachukulia watawaliwa sawa na chupi za kuvaa tu.Africa bado haijapata mfumo sahihi na makini wa uongozi
Na nafikiri tusiwanyooshe sana vidole hao viongozi wetu wa kiafrika kwani wametokea wapi? Ni sehemu yetu ni watu waliolelewa na kukulia malezi yetu hivyo wao ni sample inayowakilisha population nzma. Sasa basi inakuwaje tunapopeleka sample ya kutuwakilisha tunapeleka Sample ambayo ni mbaya tatizo liko wapi
 
Back
Top Bottom