rmashauri JF-Expert Member Jan 29, 2009 3,011 454 Feb 1, 2010 #1 Hivi ndivyo mandhari ya ughaibuni yanavyoonekana kwa sasa. Attachments Image000.jpg 173.5 KB · Views: 388 Image001.jpg 186.5 KB · Views: 192 Image002.jpg 200.8 KB · Views: 169 Image003.jpg 239.2 KB · Views: 154 Image005.jpg 140.6 KB · Views: 154
eRRy JF-Expert Member Jun 12, 2009 1,125 204 Feb 2, 2010 #2 pazuri saaaaana! palivyopendeza jameni!!! ila sipaoni!
R RR JF-Expert Member Mar 17, 2007 6,966 2,019 Feb 2, 2010 #4 eRRy84 said: pazuri saaaaana! palivyopendeza jameni!!! ila sipaoni! Click to expand... Abdulhalim said: Kunameremeta hata mimi nakuona. Click to expand... LOL. Halafu the guy kaingia mitini
eRRy84 said: pazuri saaaaana! palivyopendeza jameni!!! ila sipaoni! Click to expand... Abdulhalim said: Kunameremeta hata mimi nakuona. Click to expand... LOL. Halafu the guy kaingia mitini
rmashauri JF-Expert Member Jan 29, 2009 3,011 454 Feb 2, 2010 Thread starter #5 eRRy84 said: pazuri saaaaana! palivyopendeza jameni!!! ila sipaoni! Click to expand... Abdulhalim said: Kunameremeta hata mimi nakuona. Click to expand... Roya Roy said: LOL. Halafu the guy kaingia mitini Click to expand... Samahani wakuu, kulikuwa na tatizo la kiufundi kidogo. Naona sasa mwaweza kuziona picha.
eRRy84 said: pazuri saaaaana! palivyopendeza jameni!!! ila sipaoni! Click to expand... Abdulhalim said: Kunameremeta hata mimi nakuona. Click to expand... Roya Roy said: LOL. Halafu the guy kaingia mitini Click to expand... Samahani wakuu, kulikuwa na tatizo la kiufundi kidogo. Naona sasa mwaweza kuziona picha.
Ab-Titchaz JF-Expert Member Jan 30, 2008 14,631 4,225 Feb 2, 2010 #6 rmashauri said: Samahani wakuu, kulikuwa na tatizo la kiufundi kidogo. Naona sasa mwaweza kuziona picha. Click to expand... Poa kabisa mkuu. Naona umeweza kumudu. Tuko pamoja.
rmashauri said: Samahani wakuu, kulikuwa na tatizo la kiufundi kidogo. Naona sasa mwaweza kuziona picha. Click to expand... Poa kabisa mkuu. Naona umeweza kumudu. Tuko pamoja.
rmashauri JF-Expert Member Jan 29, 2009 3,011 454 Feb 2, 2010 Thread starter #8 Ab-Titchaz said: Poa kabisa mkuu. Naona umeweza kumudu. Tuko pamoja. Click to expand... Nashukuru kwa msaada wako mkuu picha zimeweza kuonekana sasa.
Ab-Titchaz said: Poa kabisa mkuu. Naona umeweza kumudu. Tuko pamoja. Click to expand... Nashukuru kwa msaada wako mkuu picha zimeweza kuonekana sasa.
RayB JF-Expert Member Nov 27, 2009 2,751 196 Feb 2, 2010 #10 Duh hii ni kali ni wapi huku kwenye snow kali mpaka leo? Uswiss au? Manake sehemu nyingi zimetulia ungawa baridi kali bado ipo
Duh hii ni kali ni wapi huku kwenye snow kali mpaka leo? Uswiss au? Manake sehemu nyingi zimetulia ungawa baridi kali bado ipo
Anyisile Obheli JF-Expert Member Dec 13, 2009 3,398 319 Feb 2, 2010 #11 kweli ni kuzuri, lakini kunahamishika huko? kuje tandale na tandale kupelekwe si eti jamani?
Lole Gwakisa JF-Expert Member Nov 5, 2008 4,728 2,256 Feb 2, 2010 #12 Mna matatizo gani huko majuu? Mbingu zimedondoka? Hali hiyo naiona tu kwenye friji yangu inapokuwa nzima na umeme haujakatika!!!!
Mna matatizo gani huko majuu? Mbingu zimedondoka? Hali hiyo naiona tu kwenye friji yangu inapokuwa nzima na umeme haujakatika!!!!
rmashauri JF-Expert Member Jan 29, 2009 3,011 454 Jan 23, 2014 Thread starter #13 Lole Gwakisa said: Mna matatizo gani huko majuu? Mbingu zimedondoka? Hali hiyo naiona tu kwenye friji yangu inapokuwa nzima na umeme haujakatika!!!! Click to expand... Kila Winter likifika ndo hali inavyokuwa mkuu. Sasa ni Winter na hali iko hivi pia.
Lole Gwakisa said: Mna matatizo gani huko majuu? Mbingu zimedondoka? Hali hiyo naiona tu kwenye friji yangu inapokuwa nzima na umeme haujakatika!!!! Click to expand... Kila Winter likifika ndo hali inavyokuwa mkuu. Sasa ni Winter na hali iko hivi pia.