Singidan
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 876
- 923
Kutokana na mlipuko wa virusi vya Corona, leo nimefika moja kati ya mipaka inayotenganisha Tanzania na Burundi;
Nimefika katika soko la Kimataifa la Mpuza. Hili ni soko ambalo Geography yake ni kati ya kijiji cha Mhange, Kakonko(Tanzania) na Kasenyi, Cankuzo(Burundi).
Hali ya Soko.
Kusema ukweli hali ni ngumu, soko limefungwa. Hakuna kuingia Burundi Wala Kuja Tanzania. Warundi walioko huko kwao nikiamua nawaona kwa macho tu,
Nilienda kununua kuku kutoka Burundi lakini imeshindikana. Watanzania waliokuwa na bidhaa kama nyanya na vingine wameduwaaa tu.
For surely, hili ni soko ambalo linawahudumia na kuwanufaisha watanzania kwa asilimia kubwa hasa wilaya ya Kakonko kwani hata kambi ya wakimbizi ya Mtendeli pia hutegemea kuku kutoka hapa kwa ajili ya kitoweo.
Lakini yote kwa yote, Uhai ni kitu muhimu kuliko vyote ndiyo maaana wenzetu Burundi wemechukuwa tahadhari.
Nimefika katika soko la Kimataifa la Mpuza. Hili ni soko ambalo Geography yake ni kati ya kijiji cha Mhange, Kakonko(Tanzania) na Kasenyi, Cankuzo(Burundi).
Hali ya Soko.
Kusema ukweli hali ni ngumu, soko limefungwa. Hakuna kuingia Burundi Wala Kuja Tanzania. Warundi walioko huko kwao nikiamua nawaona kwa macho tu,
Nilienda kununua kuku kutoka Burundi lakini imeshindikana. Watanzania waliokuwa na bidhaa kama nyanya na vingine wameduwaaa tu.
For surely, hili ni soko ambalo linawahudumia na kuwanufaisha watanzania kwa asilimia kubwa hasa wilaya ya Kakonko kwani hata kambi ya wakimbizi ya Mtendeli pia hutegemea kuku kutoka hapa kwa ajili ya kitoweo.
Lakini yote kwa yote, Uhai ni kitu muhimu kuliko vyote ndiyo maaana wenzetu Burundi wemechukuwa tahadhari.