Ndege Tausi
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 992
- 472
Hebu leteni mrejesho hapa, je bado unamkubali mbunge wa jimbo lako au ungependa apumzike na kwanini?
DuuuhKambi ya upinzani itaundwa na NCCR ikiwa na wabunge wasiopungua 20,...kafu itakuwa na wabunge wasiozid 7.....chadema itakuwa na wabunge wasiozid 2...Act itakua na mbunge 1.