mzee wa njaa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 1,366
- 223
CDM ilikuwa inashindana na CUF na CCM kweli tutafika...???..View attachment 38249
Natabiri CUF kufa 2015.
Natabiri CUF kufa 2015.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CDM wasikate tamaa, kazi waliyofanya ni nzuri na kubwa kuliko hata huo ushindi wa CCM. CDM tunawapongeza sana. CCM wajue tu kuwa Dalili za mvua ni............
CDM ilikuwa inashindana na CUF na CCM kweli tutafika...???..View attachment 38249
Natabiri CUF kufa 2015.
Ulikuwa hujui? umesahu na vyama vingine? japo vimepata kura kidogo sana lakini vipo. Ulifikiri kelele na kuongelea watu ndio siasa? na sasa unarudia makosa hayo hayo ya kutafuta mchawi na si kutafuta kwanini umeshndwa!
Hamchukuwi nchi madaraka ya nchi hii kwa mtaji huo. Rudini mtazame makosa, kosa lenu kubwa ni kuongolea watu na hayo ni mambo yasiyoleta maendeleo, Watanzania wanataka action si lelemama.