Hali halisi ya Tanzania: Mtazamo wangu.

fikirikwanza

JF-Expert Member
Jan 25, 2012
7,452
3,065
Hivi kusema jikaze kiume ni kuzalilisha wanawake au ndo hali ya maisha na ikatumika hivyo? naomba radhi kama utalazimika kufikiria upande wa pili kabla ya kuelewa hoja yangu.

Kwa jinsi Tz ilivyo sasa, kila mtu analalamika kuhusu hali ngumu ya maisha, tena tunaenda mbali zaidi na kuinyoshea vidole serikali. Serikali ni dhaifu, serikali imeshindwa kutatua kero za wananchi, serikali ni fisadi si umesikia kiongozi aliyeteuliwa na rais, pm au waziri kama DED na wengine kura fedha za umma. Cha ajabu kila mtu analalama tu utadhani nchi hii wote ni wanawake.

Mwizi ni mkali kiasi kwamba walioibiwa wananywea kabisa, tuliyempa madaraka ya kutusimamia hata hataki tumwelekeze namna ya kutusimamia? Kweli hii!!!!!! harafu tunalalamika tu, yanaishia hapo. Usibishe JK alisema ni upepo tu wa kisiasa?? unajua maana yake??? Kabla ya hapo alisema tena ni Ajali tu ya Kisiasa. Ni lini ataogopa watanzania na kutofanya anavyopenda yeye bali tunavyomtuma??? Tume ya Uchaguzi kunatokea hitirafu inakili ni kweli harafu haitoi nafasi kwa aliyeiona hitirafu kusikiliza kilio chake, eti wasomi wazalendo wanacheka tu, unalazimishwa kulima pamba baadae hakuna soko, aliyekulazimisha kulima pamba anacheka tu, anakulazimisha tena uuze kwa bei iliiyopo hata kama unapata hasara, harafu unacheka tuu, mbona muuza sukari hawakumlazimisha ashushe bei, mbona wameshindwa kwani wewe mkulima una nini??? harafu unacheka tu, mfumko wa bei unatuelemea serikali ipo kodi inachukua mishahara wanalipana tena posho kwa kazi ambazo tunawalipia mshahara, harafu sisi tupo tunacheeka tuuuuu.

Pesa za maendeleo hazipo kwenye bajeti, harafu tunacheka tuuuuuuuu; HAZIPO NDIO. Zilizotengwa ni 30% ya bajeti ambayo inategemea misaada kwa 47.67%. Ina maana maendeleo yote ni misaada harafu na mishahara asilimia 17.67% ni misaada, hata mishahara ya serikali yako ni misaaada, harafu unachekaa tu.

Hivi tulichagua serikali ituongoze na utaifa wetu, dola letu na nchi yetu ili itusaidie kuomba misaada au ni ubunifu wao tu hatujawatuma hivyo???? Wabunge nao tuliwatuma walete kejeli kwenye mambo ya msingi ya nchi kisa alotoa hoja ni mpinzani, ndo tulivyowatuma wabunge wa CCM??? harafu tunacheeeeeeeeeeeekaaaaaaaaaaa tuuuuuuu.

Amsha wenzako, chukua hatua, samahani nchi hii ni kama wote ni wanawake tu. Wanaume tuliowajua wamekwisha kufa, Nyerere, Kawawa, Karume, Kolimba, Mayunga, Thabit, etc
 
Kuna mantiki sana,isipokuwa kiswahili hicho,mm.
Hivi kusema jikaze kiume ni kuzalilisha wanawake au ndo hali ya maisha na ikatumika hivyo? naomba radhi kama utalazimika kufikiria upande wa pili kabla ya kuelewa hoja yangu.

Kwa jinsi Tz ilivyo sasa, kila mtu analalamika kuhusu hali ngumu ya maisha, tena tunaenda mbali zaidi na kuinyoshea vidole serikali. Serikali ni dhaifu, serikali imeshindwa kutatua kero za wananchi, serikali ni fisadi si umesikia kiongozi aliyeteuliwa na rais, pm au waziri kama DED na wengine kura fedha za umma. Cha ajabu kila mtu analalama tu utadhani nchi hii wote ni wanawake.

Mwizi ni mkali kiasi kwamba walioibiwa wananywea kabisa, tuliyempa madaraka ya kutusimamia hata hataki tumwelekeze namna ya kutusimamia? Kweli hii!!!!!! harafu tunalalamika tu, yanaishia hapo. Usibishe JK alisema ni upepo tu wa kisiasa?? unajua maana yake??? Kabla ya hapo alisema tena ni Ajali tu ya Kisiasa. Ni lini ataogopa watanzania na kutofanya anavyopenda yeye bali tunavyomtuma??? Tume ya Uchaguzi kunatokea hitirafu inakili ni kweli harafu haitoi nafasi kwa aliyeiona hitirafu kusikiliza kilio chake, eti wasomi wazalendo wanacheka tu, unalazimishwa kulima pamba baadae hakuna soko, aliyekulazimisha kulima pamba anacheka tu, anakulazimisha tena uuze kwa bei iliiyopo hata kama unapata hasara, harafu unacheka tuu, mbona muuza sukari hawakumlazimisha ashushe bei, mbona wameshindwa kwani wewe mkulima una nini??? harafu unacheka tu, mfumko wa bei unatuelemea serikali ipo kodi inachukua mishahara wanalipana tena posho kwa kazi ambazo tunawalipia mshahara, harafu sisi tupo tunacheeka tuuuuu.

Pesa za maendeleo hazipo kwenye bajeti, harafu tunacheka tuuuuuuuu; HAZIPO NDIO. Zilizotengwa ni 30% ya bajeti ambayo inategemea misaada kwa 47.67%. Ina maana maendeleo yote ni misaada harafu na mishahara asilimia 17.67% ni misaada, hata mishahara ya serikali yako ni misaaada, harafu unachekaa tu.

Hivi tulichagua serikali ituongoze na utaifa wetu, dola letu na nchi yetu ili itusaidie kuomba misaada au ni ubunifu wao tu hatujawatuma hivyo???? Wabunge nao tuliwatuma walete kejeli kwenye mambo ya msingi ya nchi kisa alotoa hoja ni mpinzani, ndo tulivyowatuma wabunge wa CCM??? harafu tunacheeeeeeeeeeeekaaaaaaaaaaa tuuuuuuu.

Amsha wenzako, chukua hatua, samahani nchi hii ni kama wote ni wanawake tu. Wanaume tuliowajua wamekwisha kufa, Nyerere, Kawawa, Karume, Kolimba, Mayunga, Thabit, etc
 
Kwa hiyo kama ni wanawake tu, then nini kinafuata, au unataka tuzae sana?
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
 
Bajeti ya makamu wa rais bilioni tisa hadi kumi, kudumisha muuungano serikali ya mapinduo bilioni 32
 
Ungepunguza maneno mengi ungeeleweka,

summary inapendeza


sio wote wanaoweza kusoma habari ndefu
 
Umelala usingizi wa miaka mingi sana mambo hayo yamejadiliwa sana hapa.... ulikuwa wapi???
 
Back
Top Bottom