GANG MO
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,087
- 2,193
Habari za asubuhi wadau wa elimu. Kama tujuavyo , walimu ni msingi mkuu wa maendeleo ya taifa lolote duniani. lakini katika taifa letu ualimu umekuwa ukionekana kama ni taaluma ya watu wanaotoka katika familia masikini na waliopata ufauru mdogo katika mitihani yao.
Serikali imekuwa ikifanya jitihada kuinua elimu lakini bado unakuta walimu wanalalamika na kukata tamaa, wengine mpaka kujuta kwanini walisomea ualimu. Tumeshuhudia katika awamu hii ya utawala wa magufuli hakuna ongezeko la mishahara na ajira zimesitishwa kwa kitambo sasa hari inayopelekea walimu kuwa na majukumu mazito zaidi kutokana na uchache wa walimu.
Lengo la kuanzisha thread hii ni kutaka wadau wa elimu tuweze kujadili changamoto/matatizo yanayowakumba walimu na nini kifanyike. endelea kuusikiliza wimbo huu ukiwa unachangia hoja yako hapaa. . nawasilisha
Serikali imekuwa ikifanya jitihada kuinua elimu lakini bado unakuta walimu wanalalamika na kukata tamaa, wengine mpaka kujuta kwanini walisomea ualimu. Tumeshuhudia katika awamu hii ya utawala wa magufuli hakuna ongezeko la mishahara na ajira zimesitishwa kwa kitambo sasa hari inayopelekea walimu kuwa na majukumu mazito zaidi kutokana na uchache wa walimu.
Lengo la kuanzisha thread hii ni kutaka wadau wa elimu tuweze kujadili changamoto/matatizo yanayowakumba walimu na nini kifanyike. endelea kuusikiliza wimbo huu ukiwa unachangia hoja yako hapaa. . nawasilisha