Hali halisi ya barabara zetu hapa Tanzania

Masika matope kiangazi mavumbi tabu tupu hiyo njia kuelekea kasulu kigoma wa bunge wa huko hakuna anayeishi huko ikifika wakati wa uchaguzi ndiyo wanaenda kuomba kura ndiyo maana mbunge hakai mihula miwili kila mhula waha wanajaribisha Kama Kuna anayeweza kuwasemea lakini Bado kabisa mkoa huo ni janga kubwa hususani kwenye miundo mbinu ya barabara hata maji wanaenda kuchota kwenye mito kutoka milimani! Huko ni taab tupu serikali inapaona Kama mkoa wa burundi
 
Hakika mkuu utasikia vipau mbele kwa sasa ni ndege
Masika matope kiangazi mavumbi tabu tupu hiyo njia kuelekea kasulu kigoma wa bunge wa huko hakuna anayeishi huko ikifika wakati wa uchaguzi ndiyo wanaenda kuomba kura ndiyo maana mbunge hakai mihula miwili kila mhula waha wanajaribisha Kama Kuna anayeweza kuwasemea lakini Bado kabisa mkoa huo ni janga kubwa hususani kwenye miundo mbinu ya barabara hata maji wanaenda kuchota kwenye mito kutoka milimani! Huko ni taab tupu serikali inapaona Kama mkoa wa burundi
 
Labda hapo siyo
Nzuri za nini,sisi tunaweka mbaya ili serikali itimize wajibu wake,pengine walikuwa hawajui kuwa kuna barabara bado hazina lami nchini.Sina unamsikia Jiwe kila siku anajisifia kwa barabra utadhani Tanzania nzima tayari imetandikwa lami,kumbe ni Main Road tuu.
Hii hapa ni Tandika Dar Es Salaam,Mitaa hii ilikuwa na lami kabla,miaka ya 80
View attachment 1285668
 
Hakika mkuu utasikia vipau mbele kwa sasa ni ndege
Mkoa ambao una ziwa na una aridhi nzuri ya kilimo serikali imeshindwa kuunganisha barabara hiyo na mkoa wa kagera kupitia nyakanazi ili biashara ya mazao na usafiri kwa wakazi ufanyike vizuri! Tunaomba raisi pamoja na Mambo anayoyafanya atengeneze hiyo barabara ni muhimu Sana kulingana kwamba kigoma ina aridhi nzuri usafirishaji wa mazao ya wakulima tabu kubwa.
 
Mkuu hv si unaelewa mzuri? Ulishawahi kutafakari kauli ya mkuu wa hiyo serikali unayoimba barabara?"MIMI NI RAISI WA WANYONGE NA MASIKINI? Kiukweli mi mi baada ya kuilewa vizuri falsafa iliyomo huwa nawalaumu watanzania wenzangu wanaoilaumu huku walituambia tumeipenda wenyewe, chaguo letu wenyewe....
 
Naipongeza awamu kwa Barabara na upinzani ufe tu ili tusijeyajua mengi.. nnji hii in Mrema's voice
 
Mkoa wa kigoma ni mkoa ambao una aridhi nzuri kwa kilimo na ni mkoa wenye ziwa kubwa afrika na mbuga ya wanyama pamoja na kuwa na vitu hivyo ni mkoa ambao umesahaurika katika swala la miundo mbinu ya barabara pamoja na umeme !

Wakazi wa mkoa huo maji hutegemea kuchota kutoka kwenye mito inayotirurisha maji kutoka milimani na mara nyingi viongozi wanaotoka katika mkoa huo hususani wabunge wengi wao hakuna anayeweza kujitokeza kuusemea mkoa huo mfano mzuri ni naibu waziri wa ujenzi ni mbunge wa kibondo lakini ameshindwa hata kuwasemea watu wake!

Waha wamekuwa wakibadilisha viongozi kila mhula hii NI kwasababu waliowengi hakuna wanachokifanya na ndiyo maana Leo utasikia NCCR Mageuzi kesho ccm kesho kutwa CCM mtondo cuf hii nikutokana na viongozi waliowengi kushindwa kutekeleza Yale ambayo wameahidi kuwafanyia wananchi!

Na ni Jambo la aibu tena kubwa kuona mkoa ambao unavitega uchumi vikubwa kusahaurika kila awamu inayoingia madarakani na wengine wamekuwa wakisema chini kwa chini huo mkoa ni sehemu ya burundi wakidai kwamba hakunasababu yakupeleka maendeleo mkoa huo.!

Rais tunaomba atazame upya katika kutekeleza majukumu yake hata kigoma nisehemu ya Tanzania alipita barabara hiyo akiomba kura nadhani alijionea mwenyewe hali ya mkoa huo ikoje kutoka nyakanazi kibondo kasulu ! Huwa akifanya ziara huko viongozi hukwangua barabara na kumwaga maji akishapita inakuwa ndoo mwisho kwa ujumla mkoa huo umesahaurika pakubwa
tapatalk_1575818816350.jpeg
 
Hiyo ya kutoka Nyakanazi hadi Rusaunga bado ni kizungumkuti
Mkoa ambao una ziwa na una aridhi nzuri ya kilimo serikali imeshindwa kuunganisha barabara hiyo na mkoa wa kagera kupitia nyakanazi ili biashara ya mazao na usafiri kwa wakazi ufanyike vizuri! Tunaomba raisi pamoja na Mambo anayoyafanya atengeneze hiyo barabara ni muhimu Sana kulingana kwamba kigoma ina aridhi nzuri usafirishaji wa mazao ya wakulima tabu kubwa.
 
Rais akijenga barabara kuna watu wanambeza kwamba ni rais wa miundombinu, wanashindwa kujua kua kuna maeneo yanahitaji miundombinu ya barabara kuliko kitu chochote.
 
Ndiyo maana kaamua kutujazia ndege ili watu wasimseme?
Rais akijenga barabara kuna watu wanambeza kwamba ni rais wa miundombinu, wanashindwa kujua kua kuna maeneo yanahitaji miundombinu ya barabara kuliko kitu chochote.
 
Back
Top Bottom