Mi nimehabarishwa na mdau anaecheki tv mpaka sasa kuwa huko Musoma Chadema wamewatia nguvuni polisi wawili baada ya kuonekana wanapewa rushwa na kiongozi wa ccm, cjajua ni jimbo gani, ila cha muhimu tazama itv au star tv.Toa taarifa zenye maana ili tuelewe unachotaka kutueleza. Tupe na picha au chaanzo cha habari
Mwananyamala kuna fujo, polisi na wanajeshi wanatumia mabomu ya machozi na kufyatua risasi. Fuatilieni Channel 10.
CCM wanataka kuchakachua, lazima tulinde KURA zetu
Naskia ubungo upigaji kura umesitishwa kutokana na msigano uliopo kati ya mawakala na msimamizi.
CCM BADO WANAPIGA KAMPENI TABORA!MWANZA VITUO HEWA VINGI WANANCHI WAWAFUKUZA WASIMAMIZI.MWANZA HAWAJAPIGA KURA.source ch10