Elections 2010 Hali halisi vituoni siku ya kupiga kura

Mimi nimetoka kupiga kura pale NIT MABIBO, hali hairidhishi, foleni inakwenda taratibu sana, watu ni wengi, hasa kundi la vijana ambao walikua ni wenye furaha sana. Mpaka saa mbili bado zoezi la kupiga kura lilikua halijaanza katika kituo cha kupigia kura "G"

Pia watu walikua wanahangaika kujua majina yao yalipo, utakuta mtu kapanga foleni akifika karibia na mlangoni anaambiwa jina lako halipo hapa kapange mstari ule pale, hiyo ilikua ni kero kubwa sana kwa watu, kwa maana ilibidi waanze tena upya foleni zao.

Acha upuuzi, vituo vyote vimepewa watu ambao sio zaidi ya 450!!! Wabongo mna matatizo sana... Mumeambiwa usome majina kwenye sehemy ujue umewekwa kwenye kituo kipi? Mimi nimeona kila kitu kilikuwa poa... watu kulalamika kawaida tu Tanzania.
 
Oh! Tafadhali kapige kura yako; usiwe na hofu nimeichunguza karatasi kwa umakini na kuona hilo haliwezekani.
 
Niko Nyegezi MZA,kituo cha shule,nmeshapiga kura yangu,watu ni wengi hasa vijana.Stand ya nyegezi hapa,magari yote yamezuiwa kusafiri madai yao watu wakpige kura,nimeipenda hii.stand ni nyeupe watu wote wamefkuzwa.
 
Mi nimepiga wa kwanza kabisa na nilipokuwa kwenye follen hiyo msg nimeiona. Nilipofika nikachunguza, a wapi hakuna chochote, naona tujiandae kumwapisha Dr wa Ukweli, fisadi hana lake tena.
 
Alisema watu tutaenda kwenye mazungumzo tukiwa na PLASTA usoni, sasa mimi nimemjeruhi na kumtengua kiuno leo...Sasa PLASTA ya kiuno sijui inabandikwaje
 
Hii Forum haikutakiwa kuwa Sub-Forum ya UCHAGUZI 2010, ilitakiwa kuwa front page. Hapa watu hawaioni. Matokeo yake posts zinakuwa nyingi sana. MODS wekeni Forum hii pamoja na ya matokeo front page.
 
Acha upuuzi, vituo vyote vimepewa watu ambao sio zaidi ya 450!!! Wabongo mna matatizo sana... Mumeambiwa usome majina kwenye sehemy ujue umewekwa kwenye kituo kipi? Mimi nimeona kila kitu kilikuwa poa... watu kulalamika kawaida tu Tanzania.

Kasheshe,

Ukiwa mjinga utaishia kulalamika kila siku kumbe tatizo ni ujinga wako. Majina yametolewa siku tatu, watu wanashindwa hata kwenda kuangalia kwanza. Kwa CCM hilo sio tatizo maana mabalozi na wajumbe wameshafanya kazi kuhakikisha kila mtu wao akapige kura yake wapi.
 
Mbeya mpaka muda huu kume tulia japo gari za police zina zunguka zunguka sana karibu na vituo vya kupigia kura
 
Acha upuuzi, vituo vyote vimepewa watu ambao sio zaidi ya 450!!! Wabongo mna matatizo sana... Mumeambiwa usome majina kwenye sehemy ujue umewekwa kwenye kituo kipi? Mimi nimeona kila kitu kilikuwa poa... watu kulalamika kawaida tu Tanzania.
wewe ndio uace upuuzi... upo hapo anapozungumzia?? au wewe ni sheikh yahya mwenye uwezo wa kuona ya wenzao, suzanne yupo tukioni na wewe haupo... acha uppuzi wewe... tumesikia clouds wanazungumzia the same case mwanza maeneo ya wavuvi na yombo vituka

mitanzania mingine inaopereti kama friji
 
dada kuna mmama anasema sasa hata Mungu akimchukua, yaani akifa, ni sawa tu maana kashapiga kura!
 
Kasheshe,

Ukiwa mjinga utaishia kulalamika kila siku kumbe tatizo ni ujinga wako. Majina yametolewa siku tatu, watu wanashindwa hata kwenda kuangalia kwanza. Kwa CCM hilo sio tatizo maana mabalozi na wajumbe wameshafanya kazi kuhakikisha kila mtu wao akapige kura yake wapi.
mpeni maelekezo haya ... nenda kwanza kuangalia uko category gani, kuna watu wapo maalum kuelekeza nk.. sio kuita mtu mjinga, si ajabu wewe hata kura hupigi ni theory tu imekukaa

tunaopiga kura tunaelewa adha, wengine wanaondoka majumbani saa kumia asubuhi kurudi mbili usiku kufukuzia elfu kumi... huo muda walipata??

suzzanne... chukua hao waelekezi wape jina wakusaidie upo kundi gani
 
Nipo kituo cha Sinza E, wanaume walopo kituoni ni wengi kuliko akina mama; vijana ni wengi na kila mtu ananvyoonekana usoni ni kama anakwenda kuzamisha zimwi ndani ya bahari.
 
Yaani kila unaeongea nae kama hapa kwetu kituo cha Sinza A wote wansea kura kwa Daktari wa ukweli na sio mzushi na mcheka cheka ovyo Jay Kei
 
Jamani kwa jambo la mawakala naomba muwe na imani kidogo! Habari niliyoipata kutoka kwa wakala wa chadema directly ni kwamba mwaka huu wamepata mafunzo ya kutosha na yalikuwa mafunzo ya kila siku kuhakikisha somo limengia. Now kama hata hapo haitoshi but from what I was told, I think they tried.
 
Back
Top Bottom