Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Jamani mliokwisha piga kura hebu tuelezeni iwapo kuna ukweli wa habari kwamba tiki ya kwa Dr (phD) inaweza kuhamia kwa 'Dr' (wa kuchota). Hii hasa ni katika maeneo ambayo Dr(PhD) ana ufuasi mkubwa kama vile Mbeya, Mwanza, Bklb, Musoma, Arusha, kili, Manyara, Iringa, Rukwa.
Yes-- na hasa iwapo karatasi unaikunja mwenyewe au wasimamizi wanakukunjia? Na kwa utaratibu gani wa kukunja? Je kalamu yao au yako ya kuwekea tiki?