Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 2,463
- 2,640
Wasalaam, naongea ukweli umasikini wetu watanzania umetengenezwa na CCM kwa maslahi ya kakikundi ndani ya jamhuri ya muungano kamajiita CCM. Nasema haya maana tangu Uhuru tumetawaliwa na CCM kwa maslahi ya CCM.
Kwanini nasema tunatawaliwa na CCM? Ni kwa sababu mpaka Leo watanzania hatuna Uhuru kamili maana hata watawala wetu tunachaguli wa kwa nguvu na kundi moja wamajiita CCM.
CCM wamegeza jamhuri ya watanzania kuwa nchi ya kifalme maana anatawala babu hadi mjukuu kwa kauli mbiu za kukatisha tamaa na za ajabu mfano;
1. Mzee Mwinyi: Ruksa
2. Mzee Mkapa: Mtaji wa masikini ni nguvu zake
3. Mzee Kikwete: Maisha bora kwa kila mtanzania
4. Mzee Magufuli; hapa kazi tu.
Hatuna vipaumbele km taifa.
pamoja na kauli mbiu zote hizi bado watanzania tu masikini wa kutupa yaani malofa, maisha ni magumu yote sababu ya ccm, mikataba ya madini na gesi ni siri kubwa haijawahi kujadiliwa bungeni na kuijadili ni uhaini unawezapewa kesi ya utakatishaji pesa ukaozea jela.
Hitimisho; october 2020 ni mwaka wa uchaguzi rai yangu kwa watanzania bila kujali vyama vyetu wala dini zetu wala kabila zetu tukapige kura za hapana kuwapumzisha wakoloni weusi ccm ili tupate Uhuru wa kweli kujitawala na kuchagua watawala kwani Tanzania ni ya wote na itajengwa na sisi watanzania sio kikundi kinachoitwa ccm.
Kwanini nasema tunatawaliwa na CCM? Ni kwa sababu mpaka Leo watanzania hatuna Uhuru kamili maana hata watawala wetu tunachaguli wa kwa nguvu na kundi moja wamajiita CCM.
CCM wamegeza jamhuri ya watanzania kuwa nchi ya kifalme maana anatawala babu hadi mjukuu kwa kauli mbiu za kukatisha tamaa na za ajabu mfano;
1. Mzee Mwinyi: Ruksa
2. Mzee Mkapa: Mtaji wa masikini ni nguvu zake
3. Mzee Kikwete: Maisha bora kwa kila mtanzania
4. Mzee Magufuli; hapa kazi tu.
Hatuna vipaumbele km taifa.
pamoja na kauli mbiu zote hizi bado watanzania tu masikini wa kutupa yaani malofa, maisha ni magumu yote sababu ya ccm, mikataba ya madini na gesi ni siri kubwa haijawahi kujadiliwa bungeni na kuijadili ni uhaini unawezapewa kesi ya utakatishaji pesa ukaozea jela.
Hitimisho; october 2020 ni mwaka wa uchaguzi rai yangu kwa watanzania bila kujali vyama vyetu wala dini zetu wala kabila zetu tukapige kura za hapana kuwapumzisha wakoloni weusi ccm ili tupate Uhuru wa kweli kujitawala na kuchagua watawala kwani Tanzania ni ya wote na itajengwa na sisi watanzania sio kikundi kinachoitwa ccm.