Olemandalo
Senior Member
- Dec 7, 2012
- 117
- 12
Baada ya mkakati mzito uliopangwa na CCM wilaya ya Simanjiro, hali imewaendea vibaya makamanda wa CHADEMA Wilayani hapa huku kukiwa na taarifa za uhakika ya makamanda hawa kufanya ufisadi wa kutisha. Wakati makamanda wakitafutana kwa polisi sisi tunatekeleza ilani ya chama cha mapinduzi, juzi tulikutana na wapiga kura vijana wa simanjiro wanaofanya biashara ya madini ya Tanzanite, tumewapa mikopo yenye garama nafuu ili waweze kujikwamua kiuchumi,
UFISADI WA CHADEMA
kamanda mmoja wa CHADEMA anayejulikana kwa jina Oleleshwa anatafutwa na rafiki yake wa karibu sana Millya kwa kutoroka na hela za ujenzi wa ofisi ya CHADEMA wilayani hapa, kamanda Oleleshwa anatuhumiwa kukimbia na hizo hela baada ya kuona CHADEMA inakufa akaamuua kujiponyesha angalau na hizo millioni nane hali ya makamanda wengine ni tete kamanda mmoja anaitwa Gidion Sanago wametandikana ngumi leo na Olemillya mpaka Millya sasa yuko hosipitali; tumeanza kuwarudisha vijana wetu waliopotea njia kurudi nyumbani Tobiko CCM.
UFISADI WA CHADEMA
kamanda mmoja wa CHADEMA anayejulikana kwa jina Oleleshwa anatafutwa na rafiki yake wa karibu sana Millya kwa kutoroka na hela za ujenzi wa ofisi ya CHADEMA wilayani hapa, kamanda Oleleshwa anatuhumiwa kukimbia na hizo hela baada ya kuona CHADEMA inakufa akaamuua kujiponyesha angalau na hizo millioni nane hali ya makamanda wengine ni tete kamanda mmoja anaitwa Gidion Sanago wametandikana ngumi leo na Olemillya mpaka Millya sasa yuko hosipitali; tumeanza kuwarudisha vijana wetu waliopotea njia kurudi nyumbani Tobiko CCM.