Na:Faida potea Kijana WA Mwanza
Hali yazidi kuwa ngumu ndani ya Chama cha Demokrasi na Maendeleo Chadema baada ya wanachama watiifu wa chama hicho na Wabunge kudai hawaelewi Ruzuku ya chama inavyotumika na chama hicho,
Hali hiyoo ilielezwa na mwana chama mmoja kwa niaba ya Wabunge wa chadema wanaodai wao wamechoshwa na viongozi wakuu wa chama kuwachangisha hela kwaajili ya ujenzi wa chama hali ya kuwa chama kama chama kina ingiza Ruzuku kubwa ndani ya chama kuliko vyama vingine,
Wabunge hawo hawakutaka kuweka wazi katika hili kwa kulinda nafasi zao ndani ya chama hicho,
Hali hii imepelekea Viongozi kuitisha kikao cha ghafla kujadili hilo pamoja na sintofahamu za wabunge wao kuwa katika order ya kuhama chama hicho kutokana na uvujwaji wa hela za Ruzuku za chama huku wao wakishinikizwa kuchangishwa michango,
Baadhi ya Wana chama walikuwa wakihoji iweje Ruzuku ya chama karibu %80iende kwa Aliekuwa Mgombea wao wa Urais?huku chama kikibaki kama omba omba michango kwa Wabunge,
Hali hii imeweka sintofahamu kwa Mkiti wa chama Freeman Mbowe,
Ndani ya kikao hicho ambacho karibu wajumbe wote waliunga mkono chama kije kikaguliwe mwenendo wa utumiaji wa fedha hizo,
Katika Mjadala huo wako baadhi ya wabunge waliweka Masharti ya kutochangia tena mpaka ukaguzi upite ili wanachama wajue Ruzuku kwann inaenda kwa Lowasa yote,
Baada ya mjadala huo kumalizika ndipo zikaja hoja za watu kuondoka chama na kujiunga ccm,
WABUNGE CHADEMA WAGOMA.
Baad ya tetesi za baadhi ya wabunge kuhama na kwenda vyama vingine,wabunge wengi wamegoma kuliongolea hilo kwasababu bado ndani ya chama kunatatizo la msingi ambalo linatuumizi sisi wabunge pamoja na wanachama,
chama kupitia Mkiti anatakiwa awaambie wanachama na kuutangazia Umma kuwa hela ya Ruzuku wapi inaenda na akubali kukaguliwa hesabu hizo,
Wabunge hawo walipoojiwa wakiwa njee ya kikao walisema hawataongea sasa mpk hapo kikao kitakapoisha na hapo mkaguzi mkuu wa serekali kwenda kukagua Mahesabu ya Ruzuku ya chama.
Wabunge watatu hawakuweza kukaa kimya japo walisema kila mtu anayo haki kikatiba kusema,au kwenda kokote japo muda wa hayo bado haujafika kuyasema,
Wakati mwandishi wetu akiendelea kuchimbua ndipo wabunge hawo wakakimbia na kuwaambia waandishi mnaharaka sana subirini muda ukifika mtapata
Hali yazidi kuwa ngumu ndani ya Chama cha Demokrasi na Maendeleo Chadema baada ya wanachama watiifu wa chama hicho na Wabunge kudai hawaelewi Ruzuku ya chama inavyotumika na chama hicho,
Hali hiyoo ilielezwa na mwana chama mmoja kwa niaba ya Wabunge wa chadema wanaodai wao wamechoshwa na viongozi wakuu wa chama kuwachangisha hela kwaajili ya ujenzi wa chama hali ya kuwa chama kama chama kina ingiza Ruzuku kubwa ndani ya chama kuliko vyama vingine,
Wabunge hawo hawakutaka kuweka wazi katika hili kwa kulinda nafasi zao ndani ya chama hicho,
Hali hii imepelekea Viongozi kuitisha kikao cha ghafla kujadili hilo pamoja na sintofahamu za wabunge wao kuwa katika order ya kuhama chama hicho kutokana na uvujwaji wa hela za Ruzuku za chama huku wao wakishinikizwa kuchangishwa michango,
Baadhi ya Wana chama walikuwa wakihoji iweje Ruzuku ya chama karibu %80iende kwa Aliekuwa Mgombea wao wa Urais?huku chama kikibaki kama omba omba michango kwa Wabunge,
Hali hii imeweka sintofahamu kwa Mkiti wa chama Freeman Mbowe,
Ndani ya kikao hicho ambacho karibu wajumbe wote waliunga mkono chama kije kikaguliwe mwenendo wa utumiaji wa fedha hizo,
Katika Mjadala huo wako baadhi ya wabunge waliweka Masharti ya kutochangia tena mpaka ukaguzi upite ili wanachama wajue Ruzuku kwann inaenda kwa Lowasa yote,
Baada ya mjadala huo kumalizika ndipo zikaja hoja za watu kuondoka chama na kujiunga ccm,
WABUNGE CHADEMA WAGOMA.
Baad ya tetesi za baadhi ya wabunge kuhama na kwenda vyama vingine,wabunge wengi wamegoma kuliongolea hilo kwasababu bado ndani ya chama kunatatizo la msingi ambalo linatuumizi sisi wabunge pamoja na wanachama,
chama kupitia Mkiti anatakiwa awaambie wanachama na kuutangazia Umma kuwa hela ya Ruzuku wapi inaenda na akubali kukaguliwa hesabu hizo,
Wabunge hawo walipoojiwa wakiwa njee ya kikao walisema hawataongea sasa mpk hapo kikao kitakapoisha na hapo mkaguzi mkuu wa serekali kwenda kukagua Mahesabu ya Ruzuku ya chama.
Wabunge watatu hawakuweza kukaa kimya japo walisema kila mtu anayo haki kikatiba kusema,au kwenda kokote japo muda wa hayo bado haujafika kuyasema,
Wakati mwandishi wetu akiendelea kuchimbua ndipo wabunge hawo wakakimbia na kuwaambia waandishi mnaharaka sana subirini muda ukifika mtapata