BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
Ana laana ya Mungu huyu kutokana na maovu yake mbali mbali kwa Watanzania.
Yani Jiwe kila sehem akiingia kwa mabavu lazima aharibu. Meli ya samaki ya wachina, kivuko kibovu, issue ya sukari, makinikia, mbaazi na sasa koroshow ndio ameamua kuwaliza kabisa Watu wa kusini.