Hali bado ni tete kwa Wakulima wa Korosho

Nashauri tutunze vielelezo vya mauzo ya korosho uenda tukapata kiongozi mwingine akatulipa fedha zetu.

Mnatutesa, tunadhulumika, naamini hamna hatakaetaka utawala wa namna hii, na Mungu wakweli atatusimamia. Haiwezekani mtu tumchague halafu aje akudhulumu mali zako hii haipo.

Msimu ujao tazuia tu moto shamba langu, niangalie mwelekeo wa kilimo hiki.
Kwenye kikokotoo ulisema jifikirie ungekuwa wewe, kwenye korosho ni vipi usijifikirie?

Mashamba uji kukagua, na ukikagua haulipi, maneno tu, mara umelipa 230bilioni, mara akaunti 191 nazifunga, Nani kakuambia tunahitaji matangazo, kwa korosho unatakiwa uwe na kadri ya 1trilioni ndio ushughlike na korosho, sasa unaanza kuangaika mapema mno.

Wasafirisha toka maghala ya msingi ujawalipa. Madai wameleta na barua zao wote zina akaunti unawaambia leteni akaunti tena.

Lipa korosho, au turudishie korosho zetu, na bora bei ya 2000 ya mhindi kuliko kusumnbuliwa na kudhulimiwa.

umeandika ukweli mtupu japo wapo watu wanashinda mchana kutwa kuandika na kusifia ujinga wowote. ukweli ni kwamba hili la korosho huyu bwana limemshinda kilichobaki ni siasa tu... kama kungekuwa na media zenye nguvu zingeandika namna swala hilo linavyoendeshwa kisiasa .kumuumbua mnyapara huyu
 
Hivi yale maandamano ya wakulima kupongeza hatua ya serikali kununua korosho yalikuwa ya nchi gani!? Wale Raia wakulima wakiwa na Mkuu wa mkoa walikuwa wa nchi gani!? Kuna vitu huwa sivielewi mapema sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
wale cwt wa mwanza walikuwa wa nchi gani? yale mabango waliandaa lini kibali walipata wapi na walijuaje raisi angerudisha kikokotoo cha zamani?
sifa kuu za kiongozi dicteta ni kutaka kusifiwa
 
Mkuu mnyemaza sana, huku korosho zenu zinafanywa mtaji wa kisiasa. Kibaya zaidi wanaotafuta kick kupitia korosho zenu wako maofisini wanakula viyoyozi na mishaharaa yao wanapata kila mwezi. Waambieni ukweli hamtaki siasa mnajali maisha yenu, wakitaka siasa waje na familia zao kulima korosho kisha walete wateja wao.
Teh teh teh teh teh

2020 John Walker out
 
  • Thanks
Reactions: BAK
umeandika ukweli mtupu japo wapo watu wanashinda mchana kutwa kuandika na kusifia ujinga wowote. ukweli ni kwamba hili la korosho huyu bwana limemshinda kilichobaki ni siasa tu... kama kungekuwa na media zenye nguvu zingeandika namna swala hilo linavyoendeshwa kisiasa .kumuumbua mnyapara huyu
Nimepata shida sana leo hadi niandike haya, mke wangu ameniuliza hivi maraisi waliomaliza muda wao hawawezi kugombea tena? Natambua kwa nini anawaza hivyo, tumesumbuka kulima na nguvu zimeishia huko halufu malipo usumbufu, nae anajua tatizo ni Raisi.
 
Nashauri tutunze vielelezo vya mauzo ya korosho uenda tukapata kiongozi mwingine akatulipa fedha zetu.

Mnatutesa, tunadhulumika, naamini hamna hatakaetaka utawala wa namna hii, na Mungu wakweli atatusimamia. Haiwezekani mtu tumchague halafu aje akudhulumu mali zako hii haipo.

Msimu ujao tazuia tu moto shamba langu, niangalie mwelekeo wa kilimo hiki.
Kwenye kikokotoo ulisema jifikirie ungekuwa wewe, kwenye korosho ni vipi usijifikirie?

Mashamba uji kukagua, na ukikagua haulipi, maneno tu, mara umelipa 230bilioni, mara akaunti 191 nazifunga, Nani kakuambia tunahitaji matangazo, kwa korosho unatakiwa uwe na kadri ya 1trilioni ndio ushughlike na korosho, sasa unaanza kuangaika mapema mno.

Wasafirisha toka maghala ya msingi ujawalipa. Madai wameleta na barua zao wote zina akaunti unawaambia leteni akaunti tena.

Lipa korosho, au turudishie korosho zetu, na bora bei ya 2000 ya mhindi kuliko kusumnbuliwa na kudhulimiwa.
Ila nakumbuka Kuna wanunuzi walifika bei ya Tsh 2700 Kwa kilo kipindi kile mkagoma kuuza mkisema mnataka Raisi magufuri aje awasaidie mnataka kuibiwa,, sasa ndio hayo,, na sidhani km kuna mfanyabiashara ataweza kuja kununua kwa bei ambayo serikali imepanga ya 3300,labda kama itawalipa
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nashukuru maombi yako yatasaidia, na umwombee atulipe.
Chikambabatu bahati yake ataombewa kwa kuwa sisi ni wadanganyika tungekua nchi nyingine angilipa kwa nguvu na madarakani tungemtimua. Ampigie Albashir wa Sudani amsimulie moto wa kiti chake cha Ikulu baada ya bei ya mkate na mafuta kupanda.
Tutajaribu na laana maana kama ni maombi tumeomba tumeomba kwa kupiga magoti na kusujudu mpka magoti na komwe zetu zimeota sugu. Pitia huku Nanyamba ujionee wanyonge wakulima wanavotia huruma, jana nilienda Michenjele asee wacha wanyonge waitwe wanyonge ni huruma ndg yangu. Du!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nimepata shida sana leo hadi niandike haya, mke wangu ameniuliza hivi maraisi waliomaliza muda wao hawawezi kugombea tena? Natambua kwa nini anawaza hivyo, tumesumbuka kulima na nguvu zimeishia huko halufu malipo usumbufu, nae anajua tatizo ni Raisi.
wakati anatangaza ule uamuzi nilikiwa kijiji flan hivi kinacholima korosho. mama mmoja alikuwa mgonjwa kweli na alipaswa kwenda muhimbili ndugi hawakiwa na pesa kabisa na walisubir za korosho ili wampeleke. sina hakka kama mama yule yupo hai mana hata hao wakagua mashamba hawajafika bado pale kijijini.nakumbuka jioni ile watu pale walifikia kusema "atawale maisha" niliwambia wasimalize maneno mpaka watakapo lipwa japo waliniambia mm mtu wa kitengo mana hawqkujua nafanya nn pale.
nawapa pole sana.nasema huyu Magufuli ni nyapara alochoka atakachofanya kikubwa ni kujenga madaraja sio maisha ya watu. ana roho mbaya iliyojaa chuki jeur na kiburi
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kuna wale kinamama walivaa nguo za chama tawala wakiishukuru serikali kwa kununua korosho. Mngeweza kuwabaini muwaulize ni korosho zipi zilinunuliwa na kulipwa na serikali, wasipotoa majibu sahihi muwalambe viboko 70 kila mmoja. Huku kwetu mtu mwongo na mnafiki anakula fimbo 70.
 
Ila nakumbuka Kuna wanunuzi walifika bei ya Tsh 2700 Kwa kilo kipindi kile mkagoma kuuza mkisema mnataka Raisi magufuri aje awasaidie mnataka kuibiwa,, sasa ndio hayo,, na sidhani km kuna mfanyabiashara ataweza kuja kununua kwa bei ambayo serikali imepanga ya 3300,labda kama itawalipa
Ililazimika kuomba serikali kwani wao na bodi ya korosho ni kikwazo, kwa kushinikiza bandari ya Mtwara tu itumike, tozo kuongezaka tofuti na msimu uliopita, na michango mingi kama 30/= Kwa kilo elimu, hivyo vinashusha bei ya korosho.
 
Poleni sana Mkuu. Huyo dikteta ni janga kubwa la Taifa. Wakulima wanalia nchi nzima, Wafanyakazi wanalia nchi nzima, Wafanyabiashara wanalia nchi nzima. Wavuvi walio wengi wanalia. Vilio kila kona ya nchi yetu kutokana na kukurupuka kwa huyo kichaa waliyemsukumizia Ikulu.

Nashauri tutunze vielelezo vya mauzo ya korosho uenda tukapata kiongozi mwingine akatulipa fedha zetu.

Mnatutesa, tunadhulumika, naamini hamna hatakaetaka utawala wa namna hii, na Mungu wakweli atatusimamia. Haiwezekani mtu tumchague halafu aje akudhulumu mali zako hii haipo.

Msimu ujao tazuia tu moto shamba langu, niangalie mwelekeo wa kilimo hiki.
Kwenye kikokotoo ulisema jifikirie ungekuwa wewe, kwenye korosho ni vipi usijifikirie?

Mashamba uji kukagua, na ukikagua haulipi, maneno tu, mara umelipa 230bilioni, mara akaunti 191 nazifunga, Nani kakuambia tunahitaji matangazo, kwa korosho unatakiwa uwe na kadri ya 1trilioni ndio ushughlike na korosho, sasa unaanza kuangaika mapema mno.

Wasafirisha toka maghala ya msingi ujawalipa. Madai wameleta na barua zao wote zina akaunti unawaambia leteni akaunti tena.

Lipa korosho, au turudishie korosho zetu, na bora bei ya 2000 ya mhindi kuliko kusumnbuliwa na kudhulimiwa.
 
Poleni sana Mkuu. Huyo dikteta ni janga kubwa la Taifa. Wakulima wanalia nchi nzima, Wafanyakazi wanalia nchi nzima, Wafanyabiashara wanalia nchi nzima. Wavuvi walio wengi wanalia. Vilio kila kona ya nchi yetu kutokana na kukurupuka kwa huyo kichaa waliyemsukumizia Ikulu.
Maumivu

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nipo naangalia danadana zinazofanywa na serikali huko Mtwara na Lindi kuhusu ununuzi wa korosho, huu Sio wakati wa sanaa Sanaa maana 2019 tuna uchaguzi na kilio Cha wananchi kinaweza kuwa kwenye sanduku la kura.

RC na ma DC pamoja na viongoz wengine someni halama za nyakati la sivyo mtanyolewa vichwa. Waziri mkuu anawaangalia TU kwa mbaali ila ipo siku utasikia mmetamkwa adharani kwamba mmekwamisha zoezi.

Hawa jamaa wanaowashauri chini chini si watu wazuri na wanaunafki flani maana likibumburuka wao hawatotajwa popote kwamba wametumbuliwa Bali watabadilishiwa TU vituo.
Nadhan mmenisoma

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani nyie watu bado mnatafakari kuwarudisha madarakan hao watu?hapo hakuna cha ka sivyo ni mwendo wa kunyoa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Au kuchelewa kulipa inawezekana korosho zinapimwa urefu na rula kama samaki
 
Hali ni tete wakulima weshazikusanya zipo maghalani mpaka leo kimya mwaka jana mpaka kufikia mwezi wa kumi na moja mwishoni almost watu wengi walikuwa wamelipwa

Sasa tunaikaribia Januari lakini malipo bado hayajafanyika

Sent using Jamii Forums mobile app
Una korosho? Umepima chama gani cha msingi? Unaposema hali ni tete kwako au kwa wakulima wote wa korosho?Wewe ni msemaji wa wawakulima? Good news ni kwamba kila aliyepima korosho amelipwa kupitia akaunti yake na ni siri ya mtu unachokisema na uhalisia are quite differ watu wanalipwa kila uchwao tafuteni nyimbo mpya and this case is closed

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msihofu, jiwe atakuja kuwalipa mwenyewe hizo hela huku tbc ikiwa live, siku hiyo kutakuwa na burudani kutoka kwa bendi yetu ya chama watauimba ule wimbo wetu maarufu wa CCM mbele kwa mbele
 
Back
Top Bottom