Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee!
Sasa hii imetoka wapi tena Sheikh? mbona waharibu sifa za mboga pendwa?
Ila zuckerbeg mdomoni kama anakula n'nya!hafurahii msosi kama bill gatesWakati tokea akiwa mdogo alikuwa anafakamia maharagwe na makande
muonekano wa mzungu huwa nafananisha na wanguruwe ila kwa upande wa nyama(mboga) nguruwe hana mpinzani mkuuSasa hii imetoka wapi tena Sheikh? mbona waharibu sifa za mboga pendwa?
Mwanza MwanzaHapo kwenye Samaki tu.
Nimeshapata Uchu wa ghafla
Thenki yu ustaaadh kwa kulikubali hilo, tukitoka masjid leo jioni tukutane tukapate tu kilo tuwili na tundizi.muonekano wa mzungu huwa nafananisha na wanguruwe ila kwa upande wa nyama(mboga) nguruwe hana mpinzani mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Thenki yu ustaaadh kwa kulikubali hilo, tukitoka masjid leo jioni tukutane tukapate tu kilo tuwili na tundizi.
PamojaMwanza Mwanza
Kumbe wagonjwa wa samaki tupo wengiHapo kwenye Samaki tu.
Nimeshapata Uchu wa ghafla